Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,184
- 4,538
Wadau habari za siku, naimani mko njema na siku zinaenda kwa uwezo wake aliye juu.
Kumekuwa na utofauti sana wa kimatumizi ya vifaa vyetu vingi vya mikononi (hasa simu). Imefika kipindi mtu ananunua kifaa flani ambacho pengine kwa namna moja au nyingine hakimvutii kimuonekano ila kwa kutokujua kuwa alikuwa ana uwezo pengine wa kuweka Roms zingine na simu ikawa na muonekano mwingine kabisa.
Binafsi niko kwenye hatua za awali kabisa za kujifunza namna bora ya uwekaji wa roms kwa simu mbalimbali.
Ningependa uzi huu uwe endelevu na tupate mafunzo mbalimbali ya namna na hatua madhubuti ambazo tutazitumia kuwezesha zoezi hili.
Naimani kubwa kuwa humu jukwaani wako wajuzi kibao tu ambao wana ujuzi wa kutosha wa kuweza kukamilisha hili zoezi hivyo karibuni sana.
Mtusaidie
Kumekuwa na utofauti sana wa kimatumizi ya vifaa vyetu vingi vya mikononi (hasa simu). Imefika kipindi mtu ananunua kifaa flani ambacho pengine kwa namna moja au nyingine hakimvutii kimuonekano ila kwa kutokujua kuwa alikuwa ana uwezo pengine wa kuweka Roms zingine na simu ikawa na muonekano mwingine kabisa.
Binafsi niko kwenye hatua za awali kabisa za kujifunza namna bora ya uwekaji wa roms kwa simu mbalimbali.
Ningependa uzi huu uwe endelevu na tupate mafunzo mbalimbali ya namna na hatua madhubuti ambazo tutazitumia kuwezesha zoezi hili.
Naimani kubwa kuwa humu jukwaani wako wajuzi kibao tu ambao wana ujuzi wa kutosha wa kuweza kukamilisha hili zoezi hivyo karibuni sana.
Mtusaidie