Daaaa kwanzaa unaangalia pembeni kama kuna mtoto mzuri anakuangalia alafu unarudi kwenye bakuli unaendelea na sho
Sent using Jamii Forums mobile app
Numbisa yaani nimecheka. Kuna dada ni nesi wa Hospitali ya Butimba (Nyamagana), mumewe alikuwa na mchepuko wake, wakazaa mtoto wa kiume, huyu dada hakujaliwa uzazi.
Numbisa yaani nimecheka. Kuna dada ni nesi wa Hospitali ya Butimba (Nyamagana), mumewe alikuwa na mchepuko wake, wakazaa mtoto wa kiume, huyu dada hakujaliwa uzazi.
Mchepuko wa yule baba au niseme mzazi mwenzie alifariki kwenye ile ajali ya kivuko cha Ukara (MV Nyerere) yaani huy nesi alishangilia hadi kero!!!
Yaani alikuwa akikutana na mtu ambaye wanajuana alianza hivi: JAMANI NINA RAHA, NINA RAHAAAAAAAAAAA UWIIIIII...