8d6172ae7e6f3e6b9a71687960635af5.jpg
Hawa ni walinzi tu sababu chupa wasingeweza kuzifunika tena.
 
Nasubiri hili vazi lifike Tz mbona watakoma wao. Zile sherehe zetu pale Taifa nitalitingaView attachment 1010605H

"ᵀʰᵉ ᶠⁱʳˢᵗ ʳᵘˡᵉ ᵒᶠ ʷᵃʳ ᵃⁿᵈ ᵇᵘˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱˢ ᵗᵒ ᵏⁿᵒʷ ʸᵒᵘʳ ᵉⁿᵉᵐʸ"
Hizi ndo mila tunazitaka zidumishwe na zilizosahaulika zirudi. Mbona watu wanadai mila za kiafrika ni makanzu na kuficha mwili wakati tulikuwa tunavaa magome ya miti na matiti nje? Wenzetu wa Fiji na visiwa vingine bado wanaheshumu mila zao.
 
Hizi ndo mila tunazitaka zidumishwe na zilizosahaulika zirudi. Mbona watu wanadai mila za kiafrika ni makanzu na kuficha mwili wakati tulikuwa tunavaa magome ya miti na matiti nje? Wenzetu wa Fiji na visiwa vingine bado wanaheshumu mila zao.
mawazo yako yaheshimiwe

°°ᴶᵉᵃˡᵒᵘˢˢʸ ⁱˢ ᵖʳᵒᶜᵉˢˢ ʸᵒᵘ ᵍᵒ ᵗʰʳᵒᵘᵍʰ ᵇᵉᶠᵒʳᵉ ᵇᵉᶜᵒᵐⁱⁿᵍ ᵃ ʷⁱᵗᶜʰ°°
 
Back
Top Bottom