Ngoja nifungue Feb hii
IMG-20190205-WA0035.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Logic mkuu huyu jamaa ameona mbali kinoma natafsiri kwa wale mabashite kuwaKama kamera ya kwanza ilikuwa hivi je ile kamera iliopiga picha dunia ilikuwa ya namna gani wadau wa NASA!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Upo wrong mkuu!hii picha ina maana hii"kama hicho kitu kilichopo kwenye picha ni camera ya mwanza duniani,ni camera ipi ilitumika kuipiga picha hiyo camera ya kwanza duniani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
102 Reactions
Reply
Back
Top Bottom