EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,524
Nimekiona unachokitafuta,I don't know why!
Ila nipo bize sana nazoom hii picha, sijui natafuta nini
Kweli asiefanya kazi na asile
Akiiona hii atatoa maneno mengi sana yule mzee hahaha
Kumbe chill sosi tayali amekuwa,,hahaha kazngua sana
Wa pili kutoka wapi
Anko we ni shwaini kabisa.
Nakujia huko ulipo