Njoo jua njoo mvua:Demetrius Ship is the biological son of Tupac Shakur

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
14,937
26,647
Dogo ameigiza kama Tupac kwenye movie inayohusu maisha ya Tupac Shakur itwayo " All Eyes on me" . He is a typical Tupac look alike.

Kwenye interview yake anasema his dady ( who is a.Music Producer) was working with Tupac sometimes in 87.

He was born in 1988 in California. At that time Tupac was already in California and was working with his dady ( Demetrius daddy)

( By working I mean making music )
In 1988 Tupac was 17..which means kama alimpa mama wa.kijana huyu ujauzito basi alimpa akiwa na miaka 16.

16 years is sufficient age for a male child to impregnate a woman.

Mimi ni mfano hai. Ukiachilia ile " kufanya matusi" ya utotoni, mwanamke wangu wa kwanza nimemgonga nikiwa nna miaka 15 and the baby was born in 2001 when I was 16.

Huamini? Bondia Joe Frazier ana mtoto wake wa kwanza anaitwa Jackie Frazier ambae ni Judge na bondia ( amestaafu ubondia now)

Joe is 17 yrs older then his daughter.

I think 2Pac was ' working' with both Demetrius father and mother hence he was conceived.

Na.kwa Tupac kugonga mke wa mtu kwake sio tatizo kabisa. Remember " U claim to be a player but I tucked ur wife?"

 
Kweliiii mkuu 2Pac alifanya vitu behind the scenes, hii mbona copy yake
images%20(2).jpeg
 
Kwani huyo muigizaji anazungumziaje suala la yeye kuhisiwa ni mtoto wa 2Pac?
 
teh

Aisee mkataze mzingue kidgo ingawa na mm swalehe ananiona msela wake san
Yeah kabisa ila mi kwangu poa tu kwa sababu dogo ni mkubwa halafu mi ni kama.his big brother..sio " dingi" . Ili uwe qualified kuwa " dingi" lazima uwe like 40 yrs older than ur kids.Pigo za kidingi naona miyeyusho wakati mi mwenyewe kichaa babu..
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom