NJOMBE: Watu wanne wajeruhiwa baada ya simu kulipuka ndani ya Bajaji, Julai 24, 2022

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,797
11,959
Watu wane wamenusurika kifo baada ya kutokea mlipuko mkubwa uliyosababishwa na simu ndani ya bajaji yenye nambari za usajili MC 567C JK-TVC katika barabara ya Njombe -Songea .

Akizungumzia tukio hilo kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe Hamis Issa amesema mkasa wa betri kulipuka umeleta taharuki kwa abiria na kusababisha dereva kuacha usukani na kupelekea chombo kuacha njia na kupinduka.

Issa amesema punde baada ya ajali hiyo kutokea askari ambao walikuwa wanalinda moja ya bank mjini Njombe wakafika kufanya uokozi na kuwakuta abiria wakiwa wamejeruhiwa na kuamua kuwakimbiza hospitali.

Katika hatua nyingine Kamanda ameshangazwa na kitendo cha mmiliki wa bajaji kumfata mmiliki wa simu na kumtaka amlipe gharama za ukarabati wa bajaji jambo ambalo ni ukosefu wa uungwana.
 
Hiyo simu ilikuwa ni iPhone 7 kama sijakosea kuiona kwenye video clip. Wa kushitakiwa kama yupo ni kampuni iliyotengeneza hapo, ila ukisoma agreement makampuni ya simu mengi hufunguliwa mashtaka kupitia mahakama za sehemu fulani tu
 
Kama amenusurika kifo basi hiyo ni fursa safi kabisa, hapo cha kufanya ni kuishitaki company husika kwa millions of dollars considering imehatarisha maisha yake nusu ya kifo. just seize the goddamn opportunity.

Kama ni company kubwa ya simu basi I see a future $ millionaire ndani ya miezi michache.
 
Watu wane wamenusurika kifo baada ya kutokea mlipuko mkubwa uliyosababishwa na simu ndani ya bajaji yenye nambari za usajili MC 567C JK-TVC katika barabara ya Njombe -Songea .

Akizungumzia tukio hilo kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe Hamis Issa amesema mkasa wa betri kulipuka umeleta taharuki kwa abiria na kusababisha dereva kuacha usukani na kupelekea chombo kuacha njia na kupinduka.

Issa amesema punde baada ya ajali hiyo kutokea askari ambao walikuwa wanalinda moja ya bank mjini Njombe wakafika kufanya uokozi na kuwakuta abiria wakiwa wamejeruhiwa na kuamua kuwakimbiza hospitali.

Katika hatua nyingine Kamanda ameshangazwa na kitendo cha mmiliki wa bajaji kumfata mmiliki wa simu na kumtaka amlipe gharama za ukarabati wa bajaji jambo ambalo ni ukosefu wa uungwana.
Sijacheka kwa waliopata ajali.Wakuu poleni sana.Sasa,huyo dereva anadai alipwe?Aache Ukinga.
 
Watu wane wamenusurika kifo baada ya kutokea mlipuko mkubwa uliyosababishwa na simu ndani ya bajaji yenye nambari za usajili MC 567C JK-TVC katika barabara ya Njombe -Songea .

Akizungumzia tukio hilo kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe Hamis Issa amesema mkasa wa betri kulipuka umeleta taharuki kwa abiria na kusababisha dereva kuacha usukani na kupelekea chombo kuacha njia na kupinduka.

Issa amesema punde baada ya ajali hiyo kutokea askari ambao walikuwa wanalinda moja ya bank mjini Njombe wakafika kufanya uokozi na kuwakuta abiria wakiwa wamejeruhiwa na kuamkwaua kuwakimbiza hospitali.

Katika hatua nyingine Kamanda ameshangazwa na kitendo cha mmiliki wa bajaji kumfata mmiliki wa simu na kumtaka amlipe gharama za ukarabati wa bajaji jambo ambalo ni ukosefu wa uungwana.
Kwa vile tunapanda Bajaj kila siku,tunapanda Bajaj na simu, Ingekuwa vizuri ungeeleza simu hiyo ililipuka vipi.
 
Kama amenusurika kifo basi hiyo ni fursa safi kabisa, hapo cha kufanya ni kuishitaki company husika kwa millions of dollars considering imehatarisha maisha yake nusu ya kifo. just seize the goddamn opportunity.

Kama ni company kubwa ya simu basi I see a future $ millionaire ndani ya miezi michache.
Read those fine prints !! Hayo makamuni makubwa yanapitia hizo mambo kila siku , na wamejihami vya kutosha , ukiona umefanikiwa kuwabana kwenye kona ujue kweli ulijipanga , kwafano kama simu ilishawahi kupita kwa fundi maiko, tayari unakosa mandate ya kuwabana,
 
Read those fine prints !! Hayo makamuni makubwa yanapitia hizo mambo kila siku , na wamejihami vya kutosha , ukiona umefanikiwa kuwabana kwenye kona ujue kweli ulijipanga , kwafano kama simu ilishawahi kupita kwa fundi maiko, tayari unakosa mandate ya kuwabana,
Kote huko mbali
Watakuuliza uwape risiti ya warranty ( ambayo wabongo wengi huwa hatutunzi ) na hapo ndo penye shida

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
 
Hiyo simu ilikuwa ni iPhone 7 kama sijakosea kuiona kwenye video clip. Wa kushitakiwa kama yupo ni kampuni iliyotengeneza hapo, ila ukisoma agreement makampuni ya simu mengi hufunguliwa mashtaka kupitia mahakama za sehemu fulani tu
Kama iliwahi funguliwa na fundi ambaye sio authorized basi wanachomokea hapo
 
Back
Top Bottom