10 August 2022
Njombe, Tanzania
Rais Samia Hassan asema kukatiana maeneo ya kiutawala huongeza gharama za uendeshaji serikali
Hivyo badala ya kuunda manispaa ya mji wa Njombe, mheshimiwa rais ataka fedha hizo ziende ktk afya, elimu na kilimo maana bajeti ni finyu na masuala ya msingi ni huduma kwa wananchi badala ya kuunda manispaa
Source : mwananchi digital
Njombe, Tanzania
Rais Samia Hassan asema kukatiana maeneo ya kiutawala huongeza gharama za uendeshaji serikali
Hivyo badala ya kuunda manispaa ya mji wa Njombe, mheshimiwa rais ataka fedha hizo ziende ktk afya, elimu na kilimo maana bajeti ni finyu na masuala ya msingi ni huduma kwa wananchi badala ya kuunda manispaa
Source : mwananchi digital