Angalia hapa chini mkoa wako ulivyo na kiwango kikubwa cha umaskini.
Mfano dar just 8% ni maskini.View attachment 1143267
Kama kingezo mojowapo ni pamoja na makazi bora basi Dar haistahili kuwemo kwani zaidi ya asilimia sitini ya wakazi wanaishi nyumba zilizobanana mithili ya nyuki wanoishi kwenye mzinga,pili kutokana na mazingira duni ndio maana gonjwa la kipindupindu limeweka kambi dar.Ila kama kigezo ni barbara za lami na magorofa basi dar inasthili kuwemo.Angalia hapa chini mkoa wako ulivyo na kiwango kikubwa cha umaskini.
Mfano dar just 8% ni maskini.View attachment 1143267
Hii inatusaidiaje sisi wanyonge wenye uchumi mdogo?
Kwahiyo dar kuna maskin wachache sana mbona watu wengi dar ni wauza kashata na kahawa au hapa tunazungumzia umasikin upi au wa akili yaan hadi dodoma kuna masikin wachache kushinda mwanza
Kwahiyo mwanza kuna masikin wengi kuliko dodoma
inashangqza sana mkuu ,Mwanza inapitwa na Dodoma kweli?Hii inatusaidiaje sisi wanyonge wenye uchumi mdogo?
Kwahiyo dar kuna maskin wachache sana mbona watu wengi dar ni wauza kashata na kahawa au hapa tunazungumzia umasikin upi au wa akili yaan hadi dodoma kuna masikin wachache kushinda mwanza
Kwahiyo mwanza kuna masikin wengi kuliko dodoma
I
inashangqza sana mkuu ,Mwanza inapitwa na Dodoma kweli?
Kwa kifupi Usukuma na Umasikini vinaendana kama Nyanya na SamakiHii inatusaidiaje sisi wanyonge wenye uchumi mdogo?
Kwahiyo dar kuna maskin wachache sana mbona watu wengi dar ni wauza kashata na kahawa au hapa tunazungumzia umasikin upi au wa akili yaan hadi dodoma kuna masikin wachache kushinda mwanza
Kwahiyo mwanza kuna masikin wengi kuliko dodoma
Namshukuru Mungu na ningeenda watanzania wote tuwe na maisha boro yaani na makazi bora pia .Angalia wewe maisha yako yakoje? Yana hali gani?
Hahahaaaaaaa, mbavu zangu mie... data hazihojiwi wazee, tumeze tu...Yaan hawa wagogo wanaokula had viwashi jeshi eti ni matajiri kushinda wazee na sangara, sato kuwashinda mabingwa wa ufugaji, wachimbajj wa madini, wakulima wa pamba wa kisukuma mafisadi wa kutisha akina lugumi na chenge
NBS nenda zinapatikana kwenye website yaoHizi takwimu za wapi, toeni source mleta mada,umezitoa wapi na ni ya mwaka gani hii takwimu, naona kuna shida somewhere
Angalia hapa chini mkoa wako ulivyo na kiwango kikubwa cha umaskini.
Mfano dar just 8% ni maskini.View attachment 1143267
Kigezo sikijui lkn dar hawana nyumba za tembeKama kingezo mojowapo ni pamoja na makazi bora basi Dar haistahili kuwemo kwani zaidi ya asilimia sitini ya wakazi wanaishi nyumba zilizobanana mithili ya nyuki wanoishi kwenye mzinga,pili kutokana na mazingira duni ndio maana gonjwa la kipindupindu limeweka kambi dar.Ila kama kigezo ni barbara za lami na magorofa basi dar inasthili kuwemo.