MTZ 255Dar
JF-Expert Member
- Sep 25, 2018
- 1,114
- 3,768
Kwanza kabisa nipende Kutoa Pole kwa Watanzania wote kwa Kuondokewa na aliyekuwa Rais wa JMT, pia niwape pongezi SADDIST wote waliofurahia kifo cha Hayati JPM.
Baada ya kusema hivyo naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika.
Kwa wale ambao walishasafiri kutoka Makambako kwenda Mjini Njombe,katikati ya eneo lote hilo Kuna mashamba makubwa ya CHAI ambayo kila nikipita nakuta yako safi kabisa.
Pia,Kutoka Njombe Mjini kuelekea wilaya ya Ludewa,kuna mashamba makubwa yaliyopangwa kwa majina ya Vitalu ya Zao hilo la Chai.
MASWALI:
1. Mashamba hayo yanamilikiwa na mtu gani au Kampuni gani?
2. Ni akina nani wanashughurika kuhakikisha yapo safi mda wote? Ni watu au Mitambo?
3. Je,Zao hilo linaongezewa Thamani hapahapa nchini kwa viwanda vipi? Au linapelekwa nje katika mtaifa gani?
EWE MTANZANIA MZALENDO SHIRIKI KATIKA HARAKATI ZA KUWEKA SHINIKIZO LA KUDAI KATIBA MPYA KWA WATAWALA WALIOKO MADARAKANI.
Baada ya kusema hivyo naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika.
Kwa wale ambao walishasafiri kutoka Makambako kwenda Mjini Njombe,katikati ya eneo lote hilo Kuna mashamba makubwa ya CHAI ambayo kila nikipita nakuta yako safi kabisa.
Pia,Kutoka Njombe Mjini kuelekea wilaya ya Ludewa,kuna mashamba makubwa yaliyopangwa kwa majina ya Vitalu ya Zao hilo la Chai.
MASWALI:
1. Mashamba hayo yanamilikiwa na mtu gani au Kampuni gani?
2. Ni akina nani wanashughurika kuhakikisha yapo safi mda wote? Ni watu au Mitambo?
3. Je,Zao hilo linaongezewa Thamani hapahapa nchini kwa viwanda vipi? Au linapelekwa nje katika mtaifa gani?
EWE MTANZANIA MZALENDO SHIRIKI KATIKA HARAKATI ZA KUWEKA SHINIKIZO LA KUDAI KATIBA MPYA KWA WATAWALA WALIOKO MADARAKANI.