stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 15,765
- 22,762
Halijakamilika mkuu...
Kajisahau kivipi? Kaburi halijakamilika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kajisahau kivipi? Kaburi halijakamilika?
Vipi Annanuk lini wanakuja chukua madini uliyowachimbia?Asante mods Kwa kuunganisha Uzi !
🙏🙏🙏🙏🙏
Raha sana mkuu,karibu...
Yuko wapi huyuMwakipande huyo
aaagh walisha yabeba na kusepa wametuachia mapango na Pyramids tu hapa Dunia pia walituachia ustaarabu angalau utusaidie ila balaa lao wakaanza abudiwa Kama miungu na waazetc wa mexico bwana wale jamaa walikua wanatoa kafara wenzeo Ili annunak warudi bwasheee isingekua Hernan Cortez kutoka Hispania kuwaconquer na kupeleka ukristo mbaka Leo wangekua wanakula nyama za watuVipi Annanuk lini wanakuja chukua madini uliyowachimbia?
kalipe deni wewe Hela ya mhenga hailiwi hivihivi shauri zako kumbuka kafa yeye ila wakulungwa Bado wapo kilingeniJaman Wale wasukuma watatibiwa vichaa vya kutupiwa na nani?
Dah mwandulami ananidai 80 000 ya dawa na ndo kavuta
Acha ubishi kijana kitu Kama hujui uliza hebu mtag Mshana Jr akuelekeze mavitu buana hiyo Hela aliyotaja sio kwamba ni gharama ya kaburi kitaratibu za kiganga usikute anazikwa na vitu vya Bei mbaya au hujui tunguli zake ni za Bei ghali mbaka akawa Dr ?Ila Billion 1, hapa tumefungwa kamba,
Hata robo ya hio pesa hapo siioni,
Video inaonesha mpk ndani, hakuna cha ajabu.
Ntapeleka najua yule mwanae ntamkutakalipe deni wewe Hela ya mhenga hailiwi hivihivi shauri zako kumbuka kafa yeye ila wakulungwa Bado wapo kilingeni
Baadae ya msiba watawataja wadaiwa na wanaomdai mwendazake Mwandulami
Hapo ndio utaona joto la jiwe ukijifanya kulikaushia deni shauri zako!
Sema alikuwa maarufu njombe na maeneo ya jirani.heeheee huyu mzee alikua na heshima zake hapa nchini wasukuma wa Ubaruku mbarali Mbeya hawatamsahau alikua anawatetea Sana kwenye migogoro yao maana ndio walikua wateja zake wakubwa!
Hata simba mnyama ni hivyohivyoHii timu ya Simba imesababisha vifo vingi sana kwa mashabiki wake, tofauti kabisa na Wananchi Yanga! Mifano ni mingi, muda ni mchache!
Sijui sababu ni nini!!!
Huyu mwamba Dk Mwandulami katangulia mwenye taarifa rami za mazishi aweke hapa tuone kama tunaweza kwenda kumpumzisha ndugu yetu.
View attachment 1840161
Mbona siku hizi hawaji au madini yameisha? Bro uliongea pumba mbaya sana hadi niliona aibu mimi.aaagh walisha yabeba na kusepa wametuachia mapango na Pyramids tu hapa Dunia pia walituachia ustaarabu angalau utusaidie ila balaa lao wakaanza abudiwa Kama miungu na waazetc wa mexico bwana wale jamaa walikua wanatoa kafara wenzeo Ili annunak warudi bwasheee isingekua Hernan Cortez kutoka Hispania kuwaconquer na kupeleka ukristo mbaka Leo wangekua wanakula nyama za watu
😜😜😜😜