Pakawa
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 7,670
- 13,150
Mganga wa jadi ndio Doctor?Alikua mganga wa jadi bwashee ni maarufu Sana mkoani Njombe ila ni Aina ya wale waganga wanaojiganga maana alikua njema Sana kiuchumi na ana miradi kibao!
Acheni kudhihaki taaluma za watu