Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 11,634
- 26,372
Inasemekana mgonjwa huyu alilazwa hospitalini hapo kwa siku tatu bila ndugu yoyote kuja kumjulia hali,lakini Njiwa huyu amekuwa akija kumfariji kwa siku zote hizo tatu
Baadae ilikuja kugundulika kwamba huyu Bwana alielazwa amekuwa na tabia ya kumlisha huyu Njiwa alipokuwa kwenye maeneo ya kupumzikia(city benches).
Hakika matendo mema yananalipa..Mungu anaweza kukutumia mfariji kwa namna usiyoitegemea.
Tuendelee kutenda mema...
Baadae ilikuja kugundulika kwamba huyu Bwana alielazwa amekuwa na tabia ya kumlisha huyu Njiwa alipokuwa kwenye maeneo ya kupumzikia(city benches).
Hakika matendo mema yananalipa..Mungu anaweza kukutumia mfariji kwa namna usiyoitegemea.
Tuendelee kutenda mema...