KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 26,213
- 56,851
Hello waungwana kama kichwa cha uzi kisemavyo msaada tafadhari ningependa kujua ni njia zipi naweza kuzitumia ili niweze kujilinda na udukuzi. Iwe kwa njia iliyobora zaidi,iwe online au offline na ni niia zipi naweza gundua kuwa nadukuliwa..?
Ni hivyo tu..
Ni hivyo tu..