Habari ndugu zanguni,
Kwa mlio wazoefu wa kukaa sehemu zenye baridi Naomb nifahamishe, njia mlizo au mnazotumia ili kuzoea na kukabiliana na hali ya hewa ya baridi katika mwili..
Maana kuna wakati huwa naisi barid adi nabaki kuseazy tu nashindwa kufanya mambo yangu,
Kwa mlio wazoefu wa kukaa sehemu zenye baridi Naomb nifahamishe, njia mlizo au mnazotumia ili kuzoea na kukabiliana na hali ya hewa ya baridi katika mwili..
Maana kuna wakati huwa naisi barid adi nabaki kuseazy tu nashindwa kufanya mambo yangu,