Njia za kupokea mzigo wako ulionunua kwenye mtandao(ebay,alibaba,amazon)

Nani atakuletea mtaani kwako?
Njia rahisi ni kutumia sanduku la posta kama huna unatumia hata la shule, kanisa, au la mtu yyte unafahamiana naye.
Mzigo ukifika posta wanakupigia simu unaenda kuchukua mzigo wako. Kama kuna kodi unalipia
Me nipo mwanza ila niliweka jina la mtaa na namba ya simu ..inakuwaje hapo msaada plzz
 

Attachments

  • Screenshot_20190518-194647.png
    Screenshot_20190518-194647.png
    12.6 KB · Views: 82
Me nipo mwanza ila niliweka jina la mtaa na namba ya simu ..inakuwaje hapo msaada plzz
Ukiweka hivi kule KIKUU.COM wanakuletea hadi mkoa ulipo. Ila kwa hao wengine nasubiria majibu.
 
Kumbe kikuu wako njema eee
Wako vizuri, tatizo ninkwamba wana bidhaa ndogondogo kama nguo, housewares, men,women accessories, small electronics etc. Simu na tvs kule ni kama hakuna.

Ona sample ya tracking yao hapo.... Kutokea china, Dar hadi Arusha
Screenshot_20190501-103216.jpeg
 
Wako vizuri, tatizo ninkwamba wana bidhaa ndogondogo kama nguo, housewares, men,women accessories, small electronics etc. Simu na tvs kule ni kama hakuna.

Ona sample ya tracking yao hapo.... Kutokea china, Dar hadi ArushaView attachment 1101527
Hawa kweli wapo vizuri kwenye masuala ya usafirishaji, ko mzigo wako ukifika wanakupigia simu???
 
Ikiwa umejaza physical address, mzigo utafika kwenye local post office ya wilaya/mkoa ulipo. Na utajulishwa kwa call/sms kwenda kuuchukua wewe mwenyewe.
Ko niwe mvumilivu tu nisubiri kupokea simu/sms kutoka post office ??? Maana nimeanza kupatwa na wasiwasi hapa
 
Kwawaliombeya please tujuzane maeneo ambayo mawakala wapo au address wanazotumia MBEYA jiji
 
Hivi wakuu huwa mnalipia tozo pale posta?
Maana wamama walikuwa wananikaba 2000k kila parcel hata kama ni meagiza sindano ya nusu Dollar.
Sasa wamepandisha Hadi 2500@ parcel haijalishi ni registered mail au yoyote wao wanakaba Tu eti ni agizo toka juu.
Je hili ni kwa posta zote au ndio nageuzwa fursa kiaina?
Mpombote , Mwl.RCT Mr. Mobile uyui kwetu[/USE
@Ymoller
 
kwa kweli Mimi sijalipa pesa yeyote ile pale posta ,labda inategemea na mazingira siwezi jua
Hivi wakuu huwa mnalipia tozo pale posta?
Maana wamama walikuwa wananikaba 2000k kila parcel hata kama ni meagiza sindano ya nusu Dollar.
Sasa wamepandisha Hadi 2500@ parcel haijalishi ni registered mail au yoyote wao wanakaba Tu eti ni agizo toka juu.
Je hili ni kwa posta zote au ndio nageuzwa fursa kiaina?
Mpombote , Mwl.RCT Mr. Mobile uyui kwetu[/USE
@Ymoller
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom