Njia za kuepuka usumbufu kutoka kwa mpenzi wako kipindi hiki cha sikukuu

bioto

JF-Expert Member
Oct 1, 2017
1,261
2,095
01. Akikupigia usipokee, miscall zikifika 16 mtafute, mwambie umeua betri ya simu yangu kwa hiyo hata mimi kuna siku utaniua. Bora tuachane..
.
02. Kama uko naye mnapiga story. Mweleze "you don't respect me, I am talking while you are breathing? it's over
03. Ukimwita akaja mapema tell her " i called you and come quick, wewe sio mvumilivu. Sitaki manze wa dizain yako!"

04. Kwenye msosi sasa "nishakwambia mimi nakulaga chakula cha moto tu lakini wewe umekataa kupasha ice cream, inaonyesha jinsi gani hunijali"

05. Nilikupa mayai mawili moja ulichemshe lingine ulikaange, wewe la kuchemsha umelikaanga halafu lile la kukaanga umelichemsha. Inaonyesha Jinsi gani hunisikilizi...

06. Mi nakuita darling wewe unaniita "honey" ... unamaanisha mama yangu ni nyuki..? sipendi mwanamke anayemdharau mama yangu kubafu!
 
01. Akikupigia usipokee, miscall zikifika 16 mtafute, mwambie umeua betri ya simu yangu kwa hiyo hata mimi kuna siku utaniua. Bora tuachane..
.
02. Kama uko naye mnapiga story. Mweleze "you don't respect me, I am talking while you are breathing? it's over
03. Ukimwita akaja mapema tell her " i called you and come quick, wewe sio mvumilivu. Sitaki manze wa dizain yako!"

04. Kwenye msosi sasa "nishakwambia mimi nakulaga chakula cha moto tu lakini wewe umekataa kupasha ice cream, inaonyesha jinsi gani hunijali"

05. Nilikupa mayai mawili moja ulichemshe lingine ulikaange, wewe la kuchemsha umelikaanga halafu lile la kukaanga umelichemsha. Inaonyesha Jinsi gani hunisikilizi...

06. Mi nakuita darling wewe unaniita "honey" ... unamaanisha mama yangu ni nyuki..? sipendi mwanamke anayemdharau mama yangu kubafu!
Mkuu, hii kitu iko mahala pake, number 4 and 6 hatari kubwa.
 
Bora umwambie tu ukweli kuwa hutaki kuombwa hela, hapo ndio ugomvi utaanza na mtaachana kiroho safi
 
Back
Top Bottom