goldie ink
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 5,636
- 9,132
Habari watu wa mungu,
Naamini wazima wa afya.
Kutokana na kichwa cha habari hapo juu, kina eleza namna ambavyo mnaweza kunipa ufahamu yakinifu katika suala X mchakato mzima wa kuacha matumizi X ulaji wa chumvi,
Ni muda mrefu sana nimeanza kula chumvi nyingi ( table salt ) kwenye chakula na nimeshindwa kuacha, tangu 2006 mpaka sasa 2017, nimetumia kila mbinu, kila njia lakini nimeshindwa.
Je....?? Naweza kupata msaada kutoka kwenu, jinsi ya kuacha kula chumvi nyingi kwenye chakula.
NOTE BY:
neno X kwenye mtiririko wa mada hii ina maanisha kiunganishi, ( na ).
Naamini wazima wa afya.
Kutokana na kichwa cha habari hapo juu, kina eleza namna ambavyo mnaweza kunipa ufahamu yakinifu katika suala X mchakato mzima wa kuacha matumizi X ulaji wa chumvi,
Ni muda mrefu sana nimeanza kula chumvi nyingi ( table salt ) kwenye chakula na nimeshindwa kuacha, tangu 2006 mpaka sasa 2017, nimetumia kila mbinu, kila njia lakini nimeshindwa.
Je....?? Naweza kupata msaada kutoka kwenu, jinsi ya kuacha kula chumvi nyingi kwenye chakula.
NOTE BY:
neno X kwenye mtiririko wa mada hii ina maanisha kiunganishi, ( na ).