Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 20,269
- 50,062
Nae ni mpenzi wa bamia Fanya kuipunguza tu tukupe marahaWEEEE babyy mbn unamtisha sasa???
Nae ni mpenzi wa bamia Fanya kuipunguza tu tukupe marahaWEEEE babyy mbn unamtisha sasa???
Hahahahhaa datz y I love you babyyyyyyyyyyy .....kwaiyo saiv Boss nimepata Decision makers wawiliiii ahhahahahahah ntanenepa mie.Wala sinaga shida mie, be free tena mtu mwenyewe miss bobge ahahaha hiyo nyumba itakuwa na amani mno na tutakupendezesha mno beby
KABISA MKUUUU.Wale mnaochemsha chakula, huu uzi unawahusu.
Thanks masweetzTwaja
namalizia kuchagua jiko hapa nakujaembu tuhamie pm mama maana co kwa ufundi huo wanawake wengi wanajua ufundi ni kukata viuno na kupiga mabeki
Tafuta na hela sasa wake wawili si mchezo atiHahahahhaa datz y I love you babyyyyyyyyyyy .....kwaiyo saiv Boss nimepata Decision makers wawiliiii ahhahahahahah ntanenepa mie.
Napitaaaa sizitaki mbiv hiziAh wapi anaanzaje lbd, aende waipunguze kwanza maswala ya kubeba fuko nani anataka
Mbn ipo sawa baby acheni kuninyima ivo vitu vyenu.Nae ni mpenzi wa bamia Fanya kuipunguza tu tukupe maraha
hela wanajitahidi sokoni hatutaki kwenda tunataka home delivery inakuwa ghaliHela zenyewe wanatoa kwa mawazo na bajeti kali, aaah watajua wenyewe aisee
Wala usijaliiii babyyyy pesa nilianza kutunziwa nikiwaa tumbon nahadi saizi nahangaika km kawaida kuzitafutaaaa .Tafuta na hela sasa wake wawili si mchezo ati
unaishi mkoa gani?kwa hali hii ya magu..nitaanza kupika nini akati naambiwa nijitahidi kubana matumizi...hayo magimbi, mayai, mkate, supu,chai, chapati kwa wakati mmoja siatanizaba vibao naharibu chakula.....yote hayo yanaendana na pesaa! Tutaishia kukoroga supu ya dagaa nakwambia!
Asante babyyyy leoooo unanikonga jamaniiiiiii...yaaan Ningekua homieeee Leo ningekutoa outtttthela wanajitahidi sokoni hatutaki kwenda tunataka home delivery inakuwa ghali