CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
Elewa kwamba kama huna product mkononi hakuna atakaye kusikiliza.
Huwezi leo hii ukaenda kwa Azam juice ukaanza kumwambia eti je nikilima maembe utanunua? Aisee wanaweza kukufukuza kabisa.
Usiende kutafuta soko na story za nina mpango wa kufanya kitu fulani je utanunua?
Nenda na confidence kwamba nina product fulani hata kama ukweli huna.
Watakuambia leta sample, kama ikibidi kuna mtu mwingine anafanya kanunue na peleka kama ndo product yako. Make sample huwa inaombwa sana.
Lengo hapa ni kutest je hii kitu nikifanya soko likoje? Unafanya soko kivuli.
Ukisha ongea nao mkaafikiana kwamba kalete mzigo sasa hapa ndo kimbebe kilipo, wataomba namba ya simu yako, kwenye bamba mara 100 uwape wrong number yaani taja namba zote zeni kama kuna 5 tamka 3.
Ukitoa namba kamili watakusumbua sana then watakuona ulikuwa msanii na next time hawatakusikiliza ukienda na mzigo sasa.
Wrong number utajitetea kwamba labda ulikosea kwenye kuandika namba.
Baada ya hapo sasa, unaweza amua kuingia field kama ni kulima au kuzalisha.
Mimi kuna wakati hadi nilikuwa nanunua sample kutoka Nairobi ili nije nizuge kwamba ni yangu lengo ni kutest utayali wa soko.
Hii ni njia nzuri sana hasa kama product ni mpya, na yenye specia demand.
Huwezi leo hii ukaenda kwa Azam juice ukaanza kumwambia eti je nikilima maembe utanunua? Aisee wanaweza kukufukuza kabisa.
Usiende kutafuta soko na story za nina mpango wa kufanya kitu fulani je utanunua?
Nenda na confidence kwamba nina product fulani hata kama ukweli huna.
Watakuambia leta sample, kama ikibidi kuna mtu mwingine anafanya kanunue na peleka kama ndo product yako. Make sample huwa inaombwa sana.
Lengo hapa ni kutest je hii kitu nikifanya soko likoje? Unafanya soko kivuli.
Ukisha ongea nao mkaafikiana kwamba kalete mzigo sasa hapa ndo kimbebe kilipo, wataomba namba ya simu yako, kwenye bamba mara 100 uwape wrong number yaani taja namba zote zeni kama kuna 5 tamka 3.
Ukitoa namba kamili watakusumbua sana then watakuona ulikuwa msanii na next time hawatakusikiliza ukienda na mzigo sasa.
Wrong number utajitetea kwamba labda ulikosea kwenye kuandika namba.
Baada ya hapo sasa, unaweza amua kuingia field kama ni kulima au kuzalisha.
Mimi kuna wakati hadi nilikuwa nanunua sample kutoka Nairobi ili nije nizuge kwamba ni yangu lengo ni kutest utayali wa soko.
Hii ni njia nzuri sana hasa kama product ni mpya, na yenye specia demand.