Kwa nini unaogopa?Yes ila siwezi kumface mwanaume nikamwambia aisee
Kwa nini unaogopa?Yes ila siwezi kumface mwanaume nikamwambia aisee
Wengi hunichukia baada ya mazoea ya muds mfupi, yaani mimi hukwepa mazoea nao na wao hutaka. Mwisho wa siku hunikaushia hata salamu yaani! Mpaka najiuliza ninakosaga nini? Mbona mimi ni mtu poa?Jaribu kuchek chanzo cha wao kuchukia ni nini usipopata sababu za msingi basi nenda ukale kimasihara
Sio mpaka unitongoze macho yangu yashasema yote 😍Khaaaa.... twenzetu PM basi nikakutongoze
Ok fanya hivi kwa huyo kakunyima salamu, jitoe umuanze mpe salamu then muombe favor yeyote unayohisi iko ndani ya uwezo wake.Wengi hunichukia baada ya mazoea ya muds mfupi, yaani mimi hukwepa mazoea nao na wao hutaka. Mwisho wa siku hunikaushia hata salamu yaani! Mpaka najiuliza ninakosaga nini? Mbona mimi ni mtu poa?
kweli mkuu.Sidhani Mkuu nafikiri ni hisia zao tu kumbuka hawa wenzetu wameumbwa tofauti kidogo kwa upande wa hisia.
Manake hata mke wa mtu anaweza kukuchukia tu bila sababu, Je, amekupenda kwelikweli huyo???
Nachofikiri anaweza kuchukia akidhani labda umemdharau ama umeona hajakidhi viwango so humfanya afeel insecure kumbe muhusika akutilia tu maanani ama hakuelewa somo.
Hajasema anauza,,kasema akimpenda MTU anamwambia ukweli.We ni malaya period
heee...sa utajuaje mdada kadindisha...hii kali aisee...😅😅😅1. Anadindisha kila anapokuona.
Yaani hujaelewa, nasalimia ila wananikaushia.Ok fanya hivi kwa huyo kakunyima salamu, jitoe umuanze mpe salamu then muombe favor yeyote unayohisi iko ndani ya uwezo wake.
mfano; Muombe akusaidie kununua muda wa maongezi kwa simu yake then umpe cash(omba akusaidie chochote kile una uhakika kipo ndani ya uwezo wake) aki respond positively, believe me kazi ni kwako tu kwenda kula kimasihara.
Anadindisha tu😂😂heee...sa utajuaje mdada kadindisha...hii kali aisee...😅😅😅
Kazi njemaYes ni Malaya
So?
Mkuu hata Biblia imeandika tuishi nao kwa akili.Yaani hujaelewa, nasalimia ila wananikaushia.
😂😂😂😂Nasubiri watu watirirke kuna siku jamaa walikuja niambia ex wako anakutaj sana naona anakupenda sana
Nikamtext nikatukanwa
...We jamaa wewe!!Refer picha ya beberu na hangaya, ndio dalili zenyewe
Mm wadada wa ivyo huwaga nduki....Kwa nini kuzunguka mbuyu
Honestly nikiona mkaka nikamuelewa namwambia bila hofu
Mm wadada wa ivyo huwaga nduki....
Ukinitongoza tu Huwa nakuogopa....maana kama umepata huo ujasir uta tamkia wangap...
Umuhoji umekuwa police wewe 👮👮😂😂😂😂For me naona kama ni kujitongozesha wakati tumezoea wakaka ndiyo wanaotongoza, afu pia would i be comfortable kuwaambia hata watoto wangu kwamba baba yenu nilimfata nikamwambia nampenda? Mmh kidogo haijakaa sawa, raha ya babe akufate akutongoze umhoji hoji viswali then umkumbalie aisee hata yeye atajiskia vizuri bana, good morning mkuu