Mpitagwa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2012
- 2,339
- 1,119
Subiri mdogo wako arudi, akusimulie ana kwa ana. Pili wazazi wenu wapo hai au wametangulia mbele za haki? Kama wapo hai ni vema kuwashirikisha ili watoe maoni yao kwani ni wadau mhimu sana kwenye hili? Tatu uwe taratibu usisimulie watu kwani ikijulikana huwezi jua mdogo wako atachukua hatua gani. anaweza kujinyonga. Aibu kubwa hii