Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
Poor me, kwa nini sikuliona hili???
Think Konnie Think
tena inawezekana hata kumshughulikia yote haya walikuwa wanalipana kimya kimya ila wametofautiana terms tu huko nje ndio akaamua kumlipua kwa braza.
Tena ulaya ukibakwa si unabonyeza kengele tu polisi hao washafika.
Am out here kwa kweli.
Think Konnie Think
tena inawezekana hata kumshughulikia yote haya walikuwa wanalipana kimya kimya ila wametofautiana terms tu huko nje ndio akaamua kumlipua kwa braza.
Tena ulaya ukibakwa si unabonyeza kengele tu polisi hao washafika.
Am out here kwa kweli.
Mkuu sijasema unamwonea wivu ila labda unamwekea kauzibe. Kwangu mie mtu anayefanya Masters kufanyiwa kitendo hiki bila hiyari, siku hiyohiyo ishu hiyo ingefika polisi hata kabla haijafika kwako. Lakini anapoambiwa asimwambie mtu na akatii huoni kuna kawalakini flani? Najua inaumaje lakini huyo dogo anapaswa kuchunguzwa zaidi, waweza kuta huyo kigogo wamekorofishana ndo maana kakuambia.