NJIA SAHIHI ZA KUTOA TAARIFA ZA UDHALILISHAJI KWA KIONGOZI MKUBWA KWA KISASA PLs USHAURI.

UKI

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
691
172
Jamani kisa hiki ni kwa ukweli napia kinahitaji sana ushauri wenu kabla ya kuchukua hatua maana tusipoangalia maisha ya huyu kijana ambae ni mdogo wangu yanaweza kuwa hatarini
kuna kiongozi mkubwa wa kisiasa katika jamhuri ya muungano wa Tanzania sitasema ni upande gani alikutana na mdogo wangu kwenye ziara moja huko huko katika mambo ya kisiasa mdogo wangu alikuwa chuo kikuu UDSM (ni wa kiume) ktk mazungumzo yalikuwa ya kisisasa ila mwisho wa siku likaingia suala la kusoma nje, kiongozi huyo akamuambia kuna ufadhili unaweza kuomba katika serikali ya jamhuri wa muungano wa tanzania mdogo wangu hakuamini akachukua conatact zake akaja akaniambia nilishangaa sana alianzaje kuongea nae maana mimi hata waziri tu sijawahi kukutana nae wakati huo mimi nilikuwa jirani mwa nchi nafanya kazi basi siku zikapita maisha yakaendelea sikujua kilichokuwa kinaendelea ila mwisho wa siku mdogo wangu alinipigia amepata full scholarship kusoma master nje dah nilifurahi sana kusikia hivyo nikampongeza mdgo wangu akaenda kusoma.
VISA vikaanza

mdogo wangu akawa anasoma na anaendelea vizuri na masomo mawasiliano yakawa hayaishi na huyu kiongozi na wakati mwingine akawa anamtembelea kitu ambacho sio cha kawaida ila mdogo wangu alichukulia sawa tu hakujua nini mbele yake sasa ndugu zanguni huwezi amini siku moja kiongozi huyo aliaenda nchi fulani akamwambia unaweza kuja kama mmoja wa wanafunzi wa kitanzania kuja kwenye ziara hiyo mdogo wangu huyo akaenda na aliandaliwa kila kitu kuhusu malazi na chakula ziara ikaisha usiku kumbe hotel walifikia moja kiongozi huyo akaenda chumbani kwake wakaendelea kuzungumza ila mwisho wa siku anasema sijui alitumia nini ila alijikuta asubuhi wote wapo uchi sitasema kilichotokea maana watu wazima mnaelewa sasa basi mdogo wangu alilia sana na akamuelezea asiseme kwa mtu yoyote mdogo wangu akasema sawa ila alinipigia simu analia kuhusu hicho kisa ana hajamuelezea mtu yoyote sijaonana na mdogo wangu bado yupo huko anatarajia kuja sept nina hasira nae sana sana na sijui nikimuona atanieleza nini? hapa nilipo najiwaza inawezekana hata kabla hajaondoka kuna dalili ambazo huyu kiongozi alikuwa anazionyesha kwake ila hakuniambia na kwanini hakuniambia?? halafu kwanini akubali anywe kinywaji ambacho ameletewa chumbani ambacho hajakifungua yeye?? huu ni uzembe mkubwa kwa huyo mdogo wangu. sasa basi hili suala nimeamua kulifanyia kazi nipo tayari kuhatarisha maisha yangu kabisa swezi kuvumilia hata kidogo naomba ushauri ni vyombo gani husika ambavyo nivitumie kufikisha ujumbe?? picha ninazo maana mdogo wangu pamoja na kuamka asubuhi alitumia akili sana kwa kupiga nae picha wakiwa wote na amenitumia ninazo jamani naomba mnishauri kwa busara sana hawa wanakuwa mstari wa mbele kupinga vitendo vya kijinga ila wao ndio wanavifanya. ushauri wa busara unahitajika, plz sitarajii mniulize ni nani.
 
Pole sana, hili jambo ni zito sana linahitaji maamuzi magumu na busara ya hali ya juu, wanasheria watasaidia kwa hili
 
mnmnhhhh kiongozi wa kike au wa kiume? tulia kwanza then nenda kawaone wahusika
 
Huyu kiongozi ni KE au ME?
Hebu funguka hapa kwanza..una maana dogo amelawitiwa? au unataka kusemaje?
 
kweli uyo jamaa alikua na long term-plan, dogo wako alishidwaje kusoma alama za nyakati?? "Wonders shall never end"
 
tutajie kwanza cheo cha huyo kiongozi
au tupe hints kabila lake...

halafu huyo dogo 'maelezo yake' hayako sawa
unasomea masters na huwezi ona hatari ya kuingia chumbani hotelini
wanaume wawili na humjui vizuri?
 
kwanza hebu kuwa wazi.

Mdogo wako ni wa kiume au kike???
Kabakwa kimasters na mwanamke mwanamme??

Maana viongozi wakubwa wa nchi kuliko waziri ni wale top 3 plus spika , sioni wengine.
 
Jamani kisa hiki ni kwa ukweli napia kinahitaji sana ushauri wenu kabla ya kuchukua hatua maana tusipoangalia maisha ya huyu kijana ambae ni mdogo wangu yanaweza kuwa hatarini
kuna kiongozi mkubwa wa kisiasa katika jamhuri ya muungano wa Tanzania sitasema ni upande gani alikutana na mdogo wangu kwenye ziara moja huko huko katika mambo ya kisiasa mdogo wangu alikuwa chuo kikuu UDSM (ni wa kiume) ktk mazungumzo yalikuwa ya kisisasa ila mwisho wa siku likaingia suala la kusoma nje, kiongozi huyo akamuambia kuna ufadhili unaweza kuomba katika serikali ya jamhuri wa muungano wa tanzania mdogo wangu hakuamini akachukua conatact zake akaja akaniambia nilishangaa sana alianzaje kuongea nae maana mimi hata waziri tu sijawahi kukutana nae wakati huo mimi nilikuwa jirani mwa nchi nafanya kazi basi siku zikapita maisha yakaendelea sikujua kilichokuwa kinaendelea ila mwisho wa siku mdogo wangu alinipigia amepata full scholarship kusoma master nje dah nilifurahi sana kusikia hivyo nikampongeza mdgo wangu akaenda kusoma.
VISA vikaanza

mdogo wangu akawa anasoma na anaendelea vizuri na masomo mawasiliano yakawa hayaishi na huyu kiongozi na wakati mwingine akawa anamtembelea kitu ambacho sio cha kawaida ila mdogo wangu alichukulia sawa tu hakujua nini mbele yake sasa ndugu zanguni huwezi amini siku moja kiongozi huyo aliaenda nchi fulani akamwambia unaweza kuja kama mmoja wa wanafunzi wa kitanzania kuja kwenye ziara hiyo mdogo wangu huyo akaenda na aliandaliwa kila kitu kuhusu malazi na chakula ziara ikaisha usiku kumbe hotel walifikia moja kiongozi huyo akaenda chumbani kwake wakaendelea kuzungumza ila mwisho wa siku anasema sijui alitumia nini ila alijikuta asubuhi wote wapo uchi sitasema kilichotokea maana watu wazima mnaelewa sasa basi mdogo wangu alilia sana na akamuelezea asiseme kwa mtu yoyote mdogo wangu akasema sawa ila alinipigia simu analia kuhusu hicho kisa ana hajamuelezea mtu yoyote sijaonana na mdogo wangu bado yupo huko anatarajia kuja sept nina hasira nae sana sana na sijui nikimuona atanieleza nini? hapa nilipo najiwaza inawezekana hata kabla hajaondoka kuna dalili ambazo huyu kiongozi alikuwa anazionyesha kwake ila hakuniambia na kwanini hakuniambia?? halafu kwanini akubali anywe kinywaji ambacho ameletewa chumbani ambacho hajakifungua yeye?? huu ni uzembe mkubwa kwa huyo mdogo wangu. sasa basi hili suala nimeamua kulifanyia kazi nipo tayari kuhatarisha maisha yangu kabisa swezi kuvumilia hata kidogo naomba ushauri ni vyombo gani husika ambavyo nivitumie kufikisha ujumbe?? picha ninazo maana mdogo wangu pamoja na kuamka asubuhi alitumia akili sana kwa kupiga nae picha wakiwa wote na amenitumia ninazo jamani naomba mnishauri kwa busara sana hawa wanakuwa mstari wa mbele kupinga vitendo vya kijinga ila wao ndio wanavifanya. ushauri wa busara unahitajika, plz sitarajii mniulize ni nani.
msubri aje akupe details vizuri,ila mi nahisi huyo kiongozi na me angekuwa ke msingesema.ila nazidi kuhofu uhusika wa mdogo wako katika hilo kama kweli he was innocent like he make yu to believe him!
 
msubri aje akupe details vizuri,ila mi nahisi huyo kiongozi na me angekuwa ke msingesema.ila nazidi kuhofu uhusika wa mdogo wako katika hilo kama kweli he was innocent like he make yu to believe him!
mfumo dume unahusu hapo..

hata mie nna wasiwasi huenda dogo na hiyo njemba wote ni waarabu wa Pemba.
 
Afu eti, anayetakiwa kushtaki ni aliyeliwa tigo au ndugu yake? Je kama kanogewa na "anatakha tenna". Watu wengine kwa kuwekeana kauzibe bana. Khaa!

Ndio hapa nashindwa kushangaa..
Manake huyu msomi wa Masters kama hawezi jisimamia katika hili..sasa hata huo usomi una maana gani??
Any ways hvi hzo picha za dogo alichukua wakti anapakuliwa? au?
 
yaani watu wengine wanashangaza, utadhani alimshikia miguu abakwe.

Mtu kalipiwa nauli toka India hadi amstadam yeye hajiongezi tu??


Mwanamme mwenzio anakuambia mlale chumba kimoja bado unashangaa shangaa tu??

Seriously??? Masters ya nini sasa kama hawezi ona kitu kidogo kama hiki??

Afu eti, anayetakiwa kushtaki ni aliyeliwa tigo au ndugu yake? Je kama kanogewa na "anatakha tenna". Watu wengine kwa kuwekeana kauzibe bana. Khaa!
 
msubri aje akupe details vizuri,ila mi nahisi huyo kiongozi na me angekuwa ke msingesema.ila nazidi kuhofu uhusika wa mdogo wako katika hilo kama kweli he was innocent like he make yu to believe him!

angekuwa ke nisingesema maana ni kawaida mkuu ila me?? no way hata mimi hili nalo nawasi wasi nalo nahisi alikuwa ameshaona hivi vitendo mwanzoni kwanini hakuniambia mapema? ila kufikia hatua ya kuniambia inawezekana amejisikia vibaya na hakukubaliana na uchafu huo. sasa mkuu nitamsubiri je tatizo kwenye vyombo vyetu ambavyo haviaminiki ni chombo gani stahiki hapo ndipo kwenye utata??
 
Afu eti, anayetakiwa kushtaki ni aliyeliwa tigo au ndugu yake? Je kama kanogewa na "anatakha tenna". Watu wengine kwa kuwekeana kauzibe bana. Khaa!

mkuu haijakutokea kwenye maisha yako please usiseme hivyo so unaona namuonea wivu mdogo wangu?? we unaona ni kitu cha kawaida hichi??? mnaenda wapi watanzania??? sawa kila mtu ana uhuru wa kufanya mambo yake ila sio kwa mdogo wangu please
 
angekuwa ke nisingesema maana ni kawaida mkuu ila me?? no way hata mimi hili nalo nawasi wasi nalo nahisi alikuwa ameshaona hivi vitendo mwanzoni kwanini hakuniambia mapema? ila kufikia hatua ya kuniambia inawezekana amejisikia vibaya na hakukubaliana na uchafu huo. sasa mkuu nitamsubiri je tatizo kwenye vyombo vyetu ambavyo haviaminiki ni chombo gani stahiki hapo ndipo kwenye utata??
wewe la msingi msubir dogo arudi,manake usije kujiandaa kumshtaki wakati mdogo wako msimamo wake upo tofauti ,manake ye ndo shahidi pekee hapa.mi nina wasiwasi sana na mdogo wako nahisi hajazungumza ukweli wote!
 
Back
Top Bottom