mtindi wa kawaida kama unauzwa na tanga fresh au asasMaelezo yako hayajitoshelezi, unamaanisha akismka breakfast iwe mtindi, lunch iwe mtindi na dinner iwe mtindi?,atapataje nguvu za kufanya kazi kama mwili utakuwa mtindi pekee?,alaf haujaonesha njia ya kutengeneza huo mtindi ili kuondoa hivyo vikorombwezo,
ndio na utakuwa na nguvu za kutosha kabisa maana kwenye mtindi kuna kiasi cha glucose ya kukutosha kuishi vizuri kabisa. unaweza kuchnganya na matunda na mboga za majani lakini maziwa kama maziwa yana kila kitu. unaweza kuchanganya ukihisi haushibi kabisa au tumbo linakuwa jepesi sanaMaelezo yako hayajitoshelezi, unamaanisha akismka breakfast iwe mtindi, lunch iwe mtindi na dinner iwe mtindi?,atapataje nguvu za kufanya kazi kama mwili utakuwa mtindi pekee?,alaf haujaonesha njia ya kutengeneza huo mtindi ili kuondoa hivyo vikorombwezo,
Utakuwa mfanyakazi wa tanga fresh maana huna alternatives yoyotemtindi wa kawaida kama unauzwa na tanga fresh au asas
sawaUtakuwa mfanyakazi wa tanga fresh maana huna alternatives yoyote
Mkuu watafute wapare watakuelekezanjia rahisi bila mazoezi ni kulikata tu hilo tumbo
hakuna namna,,,,
nje ya mada kidogo kuna mtu anajua njia rahisi ya kula chakula bila kula.,kama yupo anipm
Nilitaka kumwambia hayo manenosawa
mtindi wa kawaida kama unauzwa na tanga fresh au asas
Mnahangaika bure. Njia rahisi ni kwenda kuchukua mkopo FINCA, au easy finance au BAYPORT. Tumbo litaisha lenyeweheshima kwenu wakuu na wageni na wanachama wa jamvi hili.
huu ni utafiti binafsi ambao umefanya kazi kwa wengi niliowaambia
kutumia maziwa ya mtindi kwa wiki tatu kama chakula chako kikuu bila kula mawanga mengine kama ugali, mihogo, wali, maandazi, chapati nk kunaondoa tumbo kubwa au tumbo mimba au kitambi.
sukari iliyopo kwenye mtindi ni kiasi kidogo kuliko wanga kamili
pia kwa wenye matatizo ya haja na mmeng'enyo mmbovu wa chukula, mtindi ni dawa. nakumbuka enzi za uhai wa babu yangu, chakula chake kikuu ilikuwa na mtindi na maziwa fresh yasiyo na sukari
onyo
ili uweze kunufaika na haya maziwa hakikisha huna kitu tunasema lactose intolarance disorder(samahani nimekosa neno la kiswahili hapa)
mtu mwenye hili tatizo anakosa enzyme inyotakiwa kutenganisha lactose
vyakula hivi pia vinaweza kumdhuru
na ukinywa maziwa baada ya masaa mawili utaona dalili zifuatazo
- Spinach.
- Canned salmon or sardines with bones.
- Calcium-fortified orange juice.
- Raw broccoli.
- Canned white tuna.
- Calcium-fortified soy milk.
- Dark green leafy vegetables.
- Almonds.
gesi kujaa tumboni
kutpika
kuendesha au kuharisha
Abdominal bloating, pain, or cramps. (maumivu ya tumbo)
Borborygmi (rumbling or gurgling sounds in the stomach)(tumbo kuunguruma)
asanteni
Mnahangaika bure. Njia rahisi ni kwenda kuchukua mkopo FINCA, au easy finance au BAYPORT. Tumbo litaisha lenyewe
Unakunywa asubuhi, mchana na jioni, kwa kiasi gani?mtindi wa kawaida kama unauzwa na tanga fresh au asas
uko sahihi sana tena sikupingi kabisaHebu hamasisheni watu kufanya mazoezi, licha ya kupunguza ukubwa tumbo mazoezi yana faida nyingi sana mwilini
toa njia za kupunguza kitambiWanaume wenye vitambi wanasifa zifuatazo:-
1.99% vibamia hata ree
2.Hawawezi rudia kwichikwichi (bao moja chalii)
3.