mwana wa africa
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 548
- 128
mtaji wa No 1 ni kuwa na fikra/wazo sahihi juu ya jambo au shughuli unayotaka kuifanya, pesa ni matokeo na dhamira katika jambo ' fedha si msingi wa maendeleo' - JK nyerere. tunao waibu wa kutumia raslimali watu,elimu, afya na nafasi tulizonazo kuanzsha shughuli za kutuletea maendeleo.