Tusubiri mazimba yatakukopesha soonJaman nani humu anikopeshe laki na 70
Okey.Tusubiri mazimba yatakukopesha soon
Iyo biashara ndogo mtaji wake ndo swali lilipo.... maana hata laki moja inatosha kuanzisha biashara ndogo.unaanza na laki tuseme unatoa wap??Njia rahisi ni kuanza biashara ndogo na kuikuza kidogo kidogo mpaka baada ya miaka kadhaa inakuwa ishajizidisha mara 10, mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe
Waweza dunduliza kwenye kibubu (kujinyima), kopa marafiki, omba kwa wanafamilia wenye uwezo mfano wazazi ndugu wa karibu au mpenzi, omba kwa wafadhili watu wenye pesa zao kama kina mengi huwa wanasaidia wajasiriamali wadogoIyo biashara ndogo mtaji wake ndo swali lilipo.... maana hata laki moja inatosha kuanzisha biashara ndogo.unaanza na laki tuseme unatoa wap??
Thanks..1. Mtaji namba moja ni akili/ubunifu na plans za aina ya biashara yenye unafikiria kuifanya.
2. Mtaji namba mbili ni nguvu, ili uweze kufanya kibarua chochote halali ili uweze kupata fedha ya kuanzisha aina ya biashara unayo ifikiria.
3. Mtaji namba tatu ni Nidhamu na Bidii.
1. Mtaji namba moja ni akili/ubunifu na plans za aina ya biashara yenye unafikiria kuifanya.
2. Mtaji namba mbili ni nguvu, ili uweze kufanya kibarua chochote halali ili uweze kupata fedha ya kuanzisha aina ya biashara unayo ifikiria.
3. Mtaji namba tatu ni Nidhamu na Bidii.
Utofauti unakuja kutokana na kutokuwa na mpangokazi wa kufikia malengo. Tumekuwa na tatizo kubwa la mtu akipata wazo la biashara moja kwa moja anataka kulitekeleza. Hakai chini na kufanya tafakuri jadidi na kupata majibu ya kama niliyoainisha hapo juu ktk makala. Nadhani ktk jamii umewahi kutana na watu anakwambia mimi nikipata hela ndiyo ntaamua nifanye nini au biashara gani? Hili nalo kosa maana hata akipata hiyo pesa bila kuwa na mpango kamambe aliojiwekea kabla wa matumizi ya fedha (proper financial management) ataishia kuimaliza pesa yote bila kufika malengo tarajiwaUpo Sawa sana mkuu, ingawa kunatofauti kubwa pale linapo fikia kufanya kwa vitendo. Hapo ndio huwa tunagundua kwamba kumbe maharage ni mbegu na sio mboga.