Joeli
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 4,941
- 3,402
Kama unatumia simu ya android kuanzia toleo la 9 pie, basi njia inakufaa. Huitaji ku root.
Jinsi ya kufanya
1.) Nenda Settings --> Connections --> More connection settings --> Private DNS
2.) Chagua Private DNS provider hostname
3.) Sehemu iliyo wazi, jaza moja kati ya anwani hizi hapa chini:
dns.adguard.com
dns-family.adguard.com (hii inablock tovuti za mambo ya wakubwa)
dot-de.blahdns.com
dot-jp.blahdns.com
4.) Bonyeza Save.
Matangazo yatapotea kwenye apps zote zneye matangazo.
Sometimes kama unatumia Chrome matangazo uwa yanaendelea kuonekana, basi fanya hivi
Fungua Chrome, sehemu ya anwani andika chrome://flags
Halafu tafuta async DNS resolver (#enable-async-dns)
Ukiipata chagua disabled
Utakuwa umemaliza kazi
Sijui kama hii mbinu ilishapostiwa au la, mie nimekutana nayo mtandaoni na inafanya kazi bila shida tangu nianze kuitumia
Jinsi ya kufanya
1.) Nenda Settings --> Connections --> More connection settings --> Private DNS
2.) Chagua Private DNS provider hostname
3.) Sehemu iliyo wazi, jaza moja kati ya anwani hizi hapa chini:
dns.adguard.com
dns-family.adguard.com (hii inablock tovuti za mambo ya wakubwa)
dot-de.blahdns.com
dot-jp.blahdns.com
4.) Bonyeza Save.
Matangazo yatapotea kwenye apps zote zneye matangazo.
Sometimes kama unatumia Chrome matangazo uwa yanaendelea kuonekana, basi fanya hivi
Fungua Chrome, sehemu ya anwani andika chrome://flags
Halafu tafuta async DNS resolver (#enable-async-dns)
Ukiipata chagua disabled
Utakuwa umemaliza kazi
Sijui kama hii mbinu ilishapostiwa au la, mie nimekutana nayo mtandaoni na inafanya kazi bila shida tangu nianze kuitumia