Swali tu ni lazima awe rais?
Mambo mengine ni upuuxi Na ubatili mtupu. Oooh ondoa sukuma gang oooh wanamuhujumu ohhh shit. Hiyo ndo kazi yake sisi wapumbavu Ndo tunajifanya wajuaji wa mambo that’s stupidity. Hakuna urais rojooo hata alete watu toka wapi wezi hawakosekani. Chadema wenyewe wanaibiana ruzuku. Act wazalendo ndo hovyo kabsaa.
So let’s shut our mouths Na tumuache mheshimiwa rais atimize wajibu wake. Urais siyo lelemama Na hajalazimishwa.
Mambo mengine ni upuuxi Na ubatili mtupu. Oooh ondoa sukuma gang oooh wanamuhujumu ohhh shit. Hiyo ndo kazi yake sisi wapumbavu Ndo tunajifanya wajuaji wa mambo that’s stupidity. Hakuna urais rojooo hata alete watu toka wapi wezi hawakosekani. Chadema wenyewe wanaibiana ruzuku. Act wazalendo ndo hovyo kabsaa.
So let’s shut our mouths Na tumuache mheshimiwa rais atimize wajibu wake. Urais siyo lelemama Na hajalazimishwa.