GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,546
- 108,874
Narudia tena kwa msisitizo kwa kusema kwamba Njia Panda ya Coca Cola Media mwambieni Mrembo mwanya ' aachie ' tu yote haya yataisha kwani hizi hasira anazisababisha Yeye kwa kula Pesa za Watu huku akipewa Treatment za Kifalme halafu likija suala la kutanua ' goli ' lake kwa VIP anamyeyusha na kwenda kwa Jamaa yake wa Dubai ( ambaye zamani alikuwa akipiga sana mziki TAZARA ) na habari zinamfikia anayetoa Pesa zake ( VIP ) na hasira zinamzidi hivyo nae kuamua sasa kulipiza Kisasi kwa kupitia Mbabe wa Town kwa sasa.
Halafu na Wewe Kiongozi wa Njia Panda ya Coca Cola Media uliyebaki hapa Dar es Salaam Tanzania hii kitu yote si unaijua lakini? Sasa kwanini na Wewe Mrembo mwanya akiwa anahitajika kwenda kulipia Treatment za Kifalme anazopewa huwa unamzuia kwa kumlindia Mali yake Kiongozi wako Mkuu aliyeko Dubai?
Sasa Ewe Kiongozi wa Njia Panda ya Coca Cola Media si unaona unavyoteswa sasa kwa gharama ya Mtu mwingine aliyeko Dubai? Kwani ukimwachia tu huyo Mrembo mwanya ' achapwe nao ' mara moja mbili tatu na Mr. VIP ili aridhike na mambo haya yaishe na mwende sawa kutakuwa na tatizo gani? Na kibaya zaidi huyo Mrembo mwanya anakusikiliza mno Wewe na ndiyo maana sasa ' mashambulizi ' yote yanaelekezwa Kwako.
Halafu na Wewe Kiongozi wa Njia Panda ya Coca Cola Media unakumbuka ulipotoka siku ile katika Mkoa ambao Mahaba / Mapenzi yalianzia na unasifika kwa ' Ulozi ' uliotukuka Watoto wa mjini wenzako wawili walikuambia nini hasa baada ya kugundua kwamba kumbe kuna ' Shimo ' moja mlilokuwa mnaingia wote Kipindi cha nyuma kisha ukamuajiri hapo hapo ulipo halafu ukampora kabisa Mbabe wa Town kwa sasa? Je Wewe Kiongozi sasa unakubaliana kabisa na ule msemo wa Wahenga usemao Kikulacho ki nguoni mwako?
Pole sana kwa yanayokukuta ila nimeamini hakuna jambo ambalo utalifanya ndani ya ardhi hii ya Tanzania halafu likawa ni Siri yako na mwenzako na nakubali sasa kwamba Mtanzania atakunyima tu Ugali na Pesa ila siyo Ubuyu / Umbea na mara nyingi mno Ubuyu / Umbea wa Mtanzania juu ya jambo fulani huwa unakuwa na ukweli 99.9%.
Halafu na Wewe Kiongozi wa Njia Panda ya Coca Cola Media uliyebaki hapa Dar es Salaam Tanzania hii kitu yote si unaijua lakini? Sasa kwanini na Wewe Mrembo mwanya akiwa anahitajika kwenda kulipia Treatment za Kifalme anazopewa huwa unamzuia kwa kumlindia Mali yake Kiongozi wako Mkuu aliyeko Dubai?
Sasa Ewe Kiongozi wa Njia Panda ya Coca Cola Media si unaona unavyoteswa sasa kwa gharama ya Mtu mwingine aliyeko Dubai? Kwani ukimwachia tu huyo Mrembo mwanya ' achapwe nao ' mara moja mbili tatu na Mr. VIP ili aridhike na mambo haya yaishe na mwende sawa kutakuwa na tatizo gani? Na kibaya zaidi huyo Mrembo mwanya anakusikiliza mno Wewe na ndiyo maana sasa ' mashambulizi ' yote yanaelekezwa Kwako.
Halafu na Wewe Kiongozi wa Njia Panda ya Coca Cola Media unakumbuka ulipotoka siku ile katika Mkoa ambao Mahaba / Mapenzi yalianzia na unasifika kwa ' Ulozi ' uliotukuka Watoto wa mjini wenzako wawili walikuambia nini hasa baada ya kugundua kwamba kumbe kuna ' Shimo ' moja mlilokuwa mnaingia wote Kipindi cha nyuma kisha ukamuajiri hapo hapo ulipo halafu ukampora kabisa Mbabe wa Town kwa sasa? Je Wewe Kiongozi sasa unakubaliana kabisa na ule msemo wa Wahenga usemao Kikulacho ki nguoni mwako?
Pole sana kwa yanayokukuta ila nimeamini hakuna jambo ambalo utalifanya ndani ya ardhi hii ya Tanzania halafu likawa ni Siri yako na mwenzako na nakubali sasa kwamba Mtanzania atakunyima tu Ugali na Pesa ila siyo Ubuyu / Umbea na mara nyingi mno Ubuyu / Umbea wa Mtanzania juu ya jambo fulani huwa unakuwa na ukweli 99.9%.