TRANSPONDER
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 399
- 988
- Thread starter
- #81
Wamechezewa mno , wamepoteza sifaSasa vibabu vinahusika vipi hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamechezewa mno , wamepoteza sifaSasa vibabu vinahusika vipi hapa
Mkuu sio Tanzania tu bali popote duniani, atakaye kuwa na hizo sifa zote atakuwa ni mkamilifu, sasa kuna mwanamke mkamilifu?, lazma utamkuta na baadhi na baadhi hana so inabidi kuvumilia.Tanzania naamini bado hawajaisha acha nisubiri wadau watawataja tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Zunavunjika sababu Tunda lilishaliwa kimasiharaMkuu sio Tanzania tu bali popote duniani, atakaye kuwa na hizo sifa zote atakuwa ni mkamilifu, sasa kuna mwanamke mkamilifu?, lazma utamkuta na baadhi na baadhi hana so inabidi kuvumilia.
Na ingekuwa hivyo basi ndoa zisingekuwa zinavunjika.
. Alafu nimefatilia comments za Lenie naona Kama tunafanana vile" ngoja niendelee kufatilia,.....Acheni hzo, ila uzuri mwisho wa siku kila mtu anapata wa kufanana nae
Af adi mimi nmeona hilo eti, kweli tunafanana. Alafu nimefatilia comments za Lenie naona Kama tunafanana vile" ngoja niendelee kufatilia,.....
Msije mkawa kimasiharaAf adi mimi nmeona hilo eti, kweli tunafanana
Ikitokea aki nami ntaweza ushuhuda kwenye ule uzi pendwa
Ukinivutia haitabakia kwenye uzi tu Ila itakua maishaIkitokea aki nami ntaweza ushuhuda kwenye ule uzi pendwa
Daah kwahyo nisipokuvutia ndo ntaishia kwenye uziUkinivutia haitabakia kwenye uzi tu Ila itakua maisha
. Ndo bado naangalia Ila naonaDaah kwahyo nisipokuvutia ndo ntaishia kwenye uzi
Kimasihara masihara mwishowe kweli eeh. Ndo bado naangalia Ila naona
Kama unanifaaa vile" unajua haya mambo yanatokeaga kimasihara