Njia Nne Za Uhakika Za Kufikia Utajiri, Angalizo: Ajira Sio Mojawapo

Wewe naye mbumbumbu kumbe hujui lolote... Hebu Google uone matajiri wa dunia wanavyopreach kuhusu unavyoweza kufanya na ukawa tajiri kama anavyozungumzia mtoa mada... Warren Buffet,Bill Gates, wote wanatoa sana hayo mafundisho na a lot more inspirational speech... Watu mnaelimishwa mnaleta kujua wkat hamna mnachojua..

Mkuu usipoteze muda wako ku argue na mtu anayeandika coment za aina hizi. Mara nyingi ni watu ambao maisha yamewapiga na hawajiamini wala kuamini chochote wanachoambiwa.
Mwambie amwongeze na huyu kwenye hiyo list;
Richard Branson, anamiliki makampuni zaidi ya 400, na bado anaandika vitabu, ana blog na huwa anatuma makala kwenye mtandao wa entrepreneur.com
 
njia za kuweza kukupa kipato kikubwa, zipo nyingi mno, ajira yenye mshahara mkubwa ni njia moja rahisi na isiyo na risk sana kufikia utajiri,ilq kqma ilivyoelezwa hapo juu elimu ina nafasi kubwa kwenye eneo hili,pia sababu nyingine ambayo ni kwa nafasi ndogo mno ni ile ya kuzaliwa kwenye familia tajiri,unabii pia siku hizi umekuwa biashara inayolipa sana tu,kama una sauti kubwa na blah blah mingi fungua kanisa!! kanisa halimtupi nabii wake.

Blablalalalalalaaaaaaaaaaa
 
Hii Ya Kwako Ni Oversimplification Na Generalization Iliyopitiliza,those Who Know How To Get Rich Are Buzy Making Themselves Rich,not Preach How To Be Rich.

mkuu inabidi uhame huo mtaa unaoishi WA negative street uhamie mtaa WA positive street
 
Back
Top Bottom