The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,108
- 115,842
Kwa mimi ninae amini Mungu yupo na ana nguvu....
Siku zote huwa naamini mtu akifanya maombi maalum bila kujali dini yake, Mungu humsaidia huyo mtu.
Lakini ni lazima huyo mtu ajifunze yeye mwenyewe namna ya kuzungumza na mungu wake... sio kuombewa wala kusaidiwa kwa maombi. Ni lazima yeye mwenyewe ajifunze namna ya kumuomba mungu akiwa peke yake...
Ukiangalia historia ya viongozi mbalimbali na hata mitume na manabii.... utakuta wakati wa hard times, viongozi walitakiwa kuongoza maombi maalum kumuomba Mungu.
Ukweli ni kuwa Kikwete anahitaji spiritual guidance ya namna fulani, binafsi namuona Kikwete yuko mbali sana na Mungu. Na mambo yakiendelea hivi, the worst is yet to come...
Anahitaji god's favour ili kuvuka na kuwavusha salama anao waongoza... hana ujanja binafsi wa kuvuka mengi yaliyo mbele yake....
Tatizo ni kuwa viongozi wengi wa dini wa siku hizi nao ni wasanii sana. Ukiangalia BAKWATA ndo kabisa, hakuna watu serious wanaoweza kumsadia Kikwete spiritually....
What makes a great leader?
Mimi naamini kuongoza watu zaidi ya milioni 40, ambao kati yao wapo wengi waliokuzidi
akili, elimu na kadhalika... you need god's favour to succeed......
Tatizo sio watu wengi wanao amini hivi.......
Siku zote huwa naamini mtu akifanya maombi maalum bila kujali dini yake, Mungu humsaidia huyo mtu.
Lakini ni lazima huyo mtu ajifunze yeye mwenyewe namna ya kuzungumza na mungu wake... sio kuombewa wala kusaidiwa kwa maombi. Ni lazima yeye mwenyewe ajifunze namna ya kumuomba mungu akiwa peke yake...
Ukiangalia historia ya viongozi mbalimbali na hata mitume na manabii.... utakuta wakati wa hard times, viongozi walitakiwa kuongoza maombi maalum kumuomba Mungu.
Ukweli ni kuwa Kikwete anahitaji spiritual guidance ya namna fulani, binafsi namuona Kikwete yuko mbali sana na Mungu. Na mambo yakiendelea hivi, the worst is yet to come...
Anahitaji god's favour ili kuvuka na kuwavusha salama anao waongoza... hana ujanja binafsi wa kuvuka mengi yaliyo mbele yake....
Tatizo ni kuwa viongozi wengi wa dini wa siku hizi nao ni wasanii sana. Ukiangalia BAKWATA ndo kabisa, hakuna watu serious wanaoweza kumsadia Kikwete spiritually....
What makes a great leader?
Mimi naamini kuongoza watu zaidi ya milioni 40, ambao kati yao wapo wengi waliokuzidi
akili, elimu na kadhalika... you need god's favour to succeed......
Tatizo sio watu wengi wanao amini hivi.......