Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,447
- 21,148
Wengi hawajaielewa hii mada, wanajibu kwa hisia, wewe unaweza kujiona ni bingwa wa kusema uongo na kukausha lakini ukikutana na watu wenye professional yao wanakujua ndani ya dakika 1 tu, hata utoe macho, ukaze sauti lakini bado huwezi kuficha vitu fulani ambavyo kiuhalisia hata wewe hujui kama unavionesha.