Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 7,865
- 13,284
Vipi mwanaume akiamua kufunga/kukata mirija ya korodani?
Hakuna njia salama ya uzazi wa mpango kati ya hzo ulizoztaja...Kumekuwa na dhana mbalimbali nyingine potofu juu ya njia bora za uzazi. Wengine wanaogopa kutumia kondomu kwa sababu tu zinatumika na vijana wazinifu.
Wengine wanaogopa kutumia vidonge eti vinaongeza makalio au cancer.
Sasa ebu tuambiene kwa wanandoa ipi ni njia bora ambayo haina madhara kiafya wala kimaadili.
1. Kondom
2. Sindano
3. Vidonge
4. Vijiti
Hizo ndio ninazo zifahamu kwa sasa kwa kujisomea kwenye vijitabu.
View attachment 1720486
Na sisi tuliiacha tu nafasi wazi, maana tunaujua u-nkurunziza wako teh. Karibu tena, kamati ilimiss sana uwepo wakoI missed you more, hivi sikuacha barua ya kuachia ofisi, anyway kama lipumba tu nimerudi yani hahah
Mnyonyo- casto oil plant sina hakika na spelling za castoUmesema
1. Majivu
2. Mbegu za mnyonyo (sijui mnyonyo ndo nini maybe give name in English)
3. Kitambaa
The how its used &how it works
Kidogo ufafanuzi hapa mkuu.IUCD .... Utanishukuru.
Hususan ukitumia Copper IUCD (Cu-IUD) hiki hakibebi homoni yoyote , kwahiyo Mama hatokumbwa na shida ya Hormonal imbalance.Kidogo ufafanuzi hapa mkuu.
Unaambiwa leo salama kabisa tupia, unacheza kandanda safi unakuta umetupia nyavu mzee, zinaanza unajua sijaona siku zangu , na huu uchumi ulivyo unaanzaje kuwa na team ya mpiravipi imeshawahi kukuingiza chaka nini?
Nimetupia nje ila wife kanasa sasa sijui nilikosea wapi daaa shida tupuCalendar na siku za hatari ni kutupia bao nje tu
Kuna maali nimewambia, hata katone kamoja kanatosha kubebesha mimba.Nimetupia nje ila wife kanasa sasa sijui nilikosea wapi daaa shida tupu
Du unasema kweli mkuu?maana nilitaka niwashe moto kwa wife nilikuwa namlia tyming tu ili nilianzishe na uzee huuKuna maali nimewambia, hata katone kamoja kanatosha kubebesha mimba.
Kuna ule ute wa mwanzo unaotoka kabla ya kumwaga.
Huo nao husababisha mimba.
Wee lianzishe,ila huo ndo ukweli mkuu..Du unasema kweli mkuu?maana nilitaka niwashe moto kwa wife nilikuwa namlia tyming tu ili nilianzishe na uzee huu
itabidi tuanze kuoa wake wawili.au nasema uongo ndugu yangu
hapanaduuu!!! hii imekaa kiimani zaidi.unanuia kwa kutumia quran nini
Unaambiwa leo salama kabisa tupia, unacheza kandanda safi unakuta umetipa nyavu mzee, zinaanza unajua sijaona siku zangu , na huu uchumi ulivyo unaanzaje kuwa na team ya mpira
hapo sasa hiyo lugha umeniacha kwenye mataamathna wathalatha wa'arba'aa