nakubaliana nawe! Wanaume na Wanawake wengi hawaijui njia ya kalenda vizuri...Unajua wanawake wengi hawana elimu ya haya mambo, pia wanaume wengi nai vilaza.
Ili kwenda sawa shule yake ni pana sana.. kuna uongo mwingi sana kwenye calender.
Kweli kabisa waambie..., siku za hatari watu waache VaginaJob na badala yake wapate Handjob, Tittyjob, Fingerjob, Cunnilingus na Blowjob.... na jobs jobs zinginezo nyingiiiii, Maana kuna jobs jobs kibao.
naona una beef kubwa sana na waleviKama mume sio chapombe
you got it rightNjia Ni Moja tu mkuu iliyosalama kabisa isiyo na madhara yoyote nayo nikufata Sunnah ya kuoa mke zaidi ya mmoja..! Basi!..
Hizo njia zilizobaki ni za kuchochea Uzinzi.. Uasherati...Uzinifu Basi..hazina tija zozote
madhara yake ni kwamba baadhi ya Wanawake wanalalamika kuwa kondomu zinawachubua na kuwaumiza.Kondom zina madhara gani
Njoo tu mkuu@Carlos The Jackal mkuu naweza kuja pm nina shida kidogo
duuu!!! hii imekaa kiimani zaidi.unanuia kwa kutumia quran ninihahaa ya kitambaa ndio hivo panya akiiburuta ndio usahau kubeba ujauzito
pia unanuia na kufunga mafundo kulingana na miaka unayotaka
Halafu unakunja sura kama mtu anameza pombe kali🤣🤣Hahahahahaha mwili wote huwa unasisimka unakuwa kwenye dunia tofauti acha waite UTAMU 😂😂😂😂😂😂
Kondom haina madhara.Kondom zina madhara gani
itabidi tuanze kuoa wake wawili.au nasema uongo ndugu yanguhahahahha una bahati at least a girl knew her worth, izo p2 ni emmergency pills inafanya kaz kama mtu amebakwa or condom ilipasukia na anameza within 72 hours anavyomeza kwa kuwahi ndio ufanisi hufanya kaz zaidi
kuhusu flygyl nilikua nasikia tu watu hutumia emmediately baada ya tendo
kitambaa huweki chochote ni ile damu ya hedhi tu ndio inatumika akishaingia hedhi ts like anakinga ile dam so kile kitambaa hakifuliwi kinafungwa mafundo anaficha sehem ambayo anajua nobody atafika hapo tena akitaka kubeba mimba anakifungua
ubaya ni kua hizo njia bado zilifeli tena hizo za asili zina mtu na mtu at least za hospital ukitumia japo side effects zakw ndio mbaya
wanasema hivo vijiti mtu akitoa haichukui round mtu anabeba ujauzito kwa kweli wapo mbao wamepitiliza miaka hata miwili hawajabeba baada ya kutoa
Mungu atusaidie wanawake.
full kunasa tuNawashangaa sana mnaoitaja njia ya Calender kuwa ni salama.Nimekuwa mtaalamu wa kutumia calender lakini ilinifelisha mara tatu,hata sasa Wife amenasa kizembe kwa sababu ya hiyo..**** U Calender.
Sio mwanaume tu,Calenda ni nzuri lakini efficiency yake ni below 80% kwa sababu ya mzunguko kubadilikabadilika pia mwanaume awe muelewa.
Kama mwanamke yuko siku za hatari..Hakuna hata salama hapo zote hizo ni mbaya. Njia salama kiafya ni kucheza na kalenda na kutokumwagia ndani
Sent using Jamii Forums mobile app
vipi imeshawahi kukuingiza chaka nini?Ila calender ni mdanganyifu sana, hajawahi kuwa mkweli anabadilika kama kinyonga , ni heri wale majivu tu dada zetu
Calenda ni nzuri lakini efficiency yake ni below 80% kwa sababu ya mzunguko kubadilikabadilika pia mwanaume awe muelewa.
Hapa simaanishi uelewa wa mwanaume kujua cycle namaanisha kukubali kutosex siku za hatari kuna wanaume ni wabishi hawakubali kabisaa.Sio mwanaume tu,
Wewe mwanamke ndio unatakiwa Ujijue kwa kuangalia uteute wa wa siku za uzazi na joto mwili lako.
Sasa mwanaume nahayo wapiwapi??
Yeye mwanaume kazi yake ni kukutii unachomweleza nakam nayeye yuko makini atakua wakwanza kukumbusha.
Haijalishi mzunguko wako unabadilika vipi, Siku za Mimba zitabaki kua siku zinazojulikana.
Kama mwanaume ni mbishi hapo ni majanga. Njia ya kalenda inatakiwa mwanamke na mwanaume washirikiane. Kuna app inaitwa My Calendar ni nzuri sana mwanaume kuwa nayo.Hapa simaanishi uelewa wa mwanaume kujua cycle namaanisha kukubali kutosex siku za hatari kuna wanaume ni wabishi hawakubali kabisaa.
Aahhh sawa sawa sawima nmekupataHapa simaanishi uelewa wa mwanaume kujua cycle namaanisha kukubali kutosex siku za hatari kuna wanaume ni wabishi hawakubali kabisaa.