Njia ipi nzuri ya kwenda Uganda-Kampala kati ya kupitia Mutukula au Nairobi?

nitonye

JF-Expert Member
Dec 18, 2011
7,273
3,750
Habari wanajamvi
Nahitaji kusafiri kwenda Kampala Uganda wiki ijayo kwa basi ila sijajua ni njia ipi ninayoweza kupita na kufika bila tatizo lolote na je kuna document yoyote unatakiwa kuwa nayo zaidi ya passport?
Mimi natokea Dar es Salaam
 
Me nipo Bukoba kutoka bukoba to Kampala ni masaa matano nauli ni 20000 kutoka dar to Bukoba nauli elfu 60 na ukitoka dar kwa bus utafika bukoba kesho yake saa 6:30 mchana ukichukua gari ina maana utafika Kampala saa 11 jioni ni hayo tu mkuu
 
Me nipo Bukoba kutoka bukoba to Kampala ni masaa matano nauli ni 20000 kutoka dar to Bukoba nauli elfu 60 na ukitoka dar kwa bus utafika bukoba kesho yake saa 6:30 mchana ukichukua gari ina maana utafika Kampala saa 11 jioni ni hayo tu mkuu
Shukrani sana mkuu, na zaidi ya passport kuna document nyingine inahitajika?
 
Kama unatokea dar ni bora ukapitia nairobi maana utafika kla kesho yake kati ya SAA tatu hadi saa saba, kupitia mtukula ni kujichosha tu
 
Kama unatokea dar ni bora ukapitia nairobi maana utafika kla kesho yake kati ya SAA tatu hadi saa saba, kupitia mtukula ni kujichosha tu
Ahsante mkuu, na je zaidi ya passport natakiwa kuwa na document nyingine kama nitapitia Nairobi?
 
Dar Nairobi masaa mangapi kwa basi?
Na Dar Bukoba masaa mangapi?
Au Dar Kampala....
Kama unatokea dar ni bora ukapitia nairobi maana utafika kla kesho yake kati ya SAA tatu hadi saa saba, kupitia mtukula ni kujichosha tu
 
Chukua passport na kadi ya chanjo ya homa ya manjano. Mtukula wanataka uonyeshe unaporudi toka Kampala. Njia ya Nairobi sijapita ila kupitia Mtukula kuna basi la Friends Dar to Kampala, nisafari ndefu lazima mlale kahama na Kampala mtaingia kesho yake saa 3 usiku.
 
Mabasi kutoka bukoba yanapatikana mwisho saa ngapi kwenda kampala
Nadhani ingekuwa vizuri ukapanda la moja kwa moja dar bukoba to Kampala linaitwa friends...kama unapenda kupunzika una weza ukalala Bukoba kesho yake ukapanda bus saa 12 saa NNE asubuhi hupo Kampala...usafiri mpaka saa nane mchana una kuwepo...Au una weza kwenda Mutukula nauli ni elfu tatu kutoka bukoba mjini utatumia saa 1 na nusu na usfiri hupo any time kwenda Kampala na 700 ya kwetu kwao ni 1000
 
Mk
Chukua passport na kadi ya chanjo ya homa ya manjano. Mtukula wanataka uonyeshe unaporudi toka Kampala. Njia ya Nairobi sijapita ila kupitia Mtukula kuna basi la Friends Dar to Kampala, nisafari ndefu lazima mlale kahama na Kampala mtaingia kesho yake saa 3 usiku
Mkuu Kampala ukitokea Bukoba ni Massa matano huwezi kufika saa Tatu usiku me natoka asubuhi naenda kuchukua nguo saa 12 jioni nipo Bukoba
 
Habari wanajamvi
Nahitaji kusafiri kwenda Kampala Uganda wiki ijayo kwa basi ila sijajua ni njia ipi ninayoweza kupita na kufika bila tatizo lolote na je kuna document yoyote unatakiwa kuwa nayo zaidi ya passport?
Mimi natokea Dar es Salaam
Jitahidi usirudi Dar na Ebola
 
Passport peke yake ndio inayo itajika
NENDA HOSPTAL YA MNAZI MMOJA UKACHOMWE SINDANO YA KINGA NA UPEWE KADI YA MANJANO NI 30000 other wise utabakia mpakani bila kua na iyo kadi na ukichomwa iyo sindano unatakiwa usubri kwa 10 days ndio usafir other wise utabaki border km unataka usafir bila shida zingatia.
 
NENDA HOSPTAL YA MNAZI MMOJA UKACHOMWE SINDANO YA KINGA NA UPEWE KADI YA MANJANO NI 30000 other wise utabakia mpakani bila kua na iyo kadi na ukichomwa iyo sindano unatakiwa usubri kwa 10 days ndio usafir other wise utabaki border km unataka usafir bila shida zingatia.
Hiyo haitajiki mkuu kwenda Uganda ndio mishe zetu hiwe kufuata mazaga au kupeleka watoto shule aliye kuambia hivyo kakupotosha at a mda huu nikiamua kwenda Kampala naenda cha msingi passport uwe nayo sehemu zote za mpaka wa Uganda kwa upande Karagwe sehemu inaitwa mlongo na Mutukula
 
Hiyo haitajiki mkuu kwenda Uganda ndio mishe zetu hiwe kufuata mazaga au kupeleka watoto shule aliye kuambia hivyo kakupotosha at a mda huu nikiamua kwenda Kampala naenda cha msingi passport uwe nayo sehemu zote za mpaka wa Uganda kwa upande Karagwe sehemu inaitwa mlongo na Mutukula

Shukrani mkuu nilifika salama Kampala nilipitia Mutukula
 
Back
Top Bottom