timothy harun
New Member
- Jul 12, 2017
- 3
- 0
Nimeangalia,kutathimini na kujihusisha kwenye biashara mbalimbali, nimeona changamoto ya kila biashara ambayo nimekua nikiifanya,hivyo nataka kuangaza tena kwenye biashara ambazo zinaweza kufanywa na kujipatia pesa za kukidhi mahitaji ya kila siku,lakini nimeshindwa nianzie wapi wapendwa wangu kama kuna mtu aliye na upeo na mambo ya mtandao ambayo yanaweza kumuweka mtu katika position zuri ya kipesa! naomba kusaidiwa kwa hilo
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app