Nakushukuru sana ndugu yangu kwa maeelzo fasanani,nimepata mwanga na sasa najua wapi pa kuanzia. Asante sana Mkuu.Kwa njia ya maji kuna meli za mizigo za aina mbili Azam sea link na sea star. hizi unaweza safirisha hivi.
Ukawapakia mifugo yako kwenye gari lako then gari likaingia kwenye meli hadi zanzibar ukifika unawasha ndinga yako unaenda fanya delivery sehemu husika au
Usisahau kutupa mrejeshoNakushukuru sana ndugu yangu kwa maeelzo fasanani,nimepata mwanga na sasa najua wapi pa kuanzia. Asante sana Mkuu.
je hawa mifugo unawatoa mkoa au mikoa gani?Wadau wasalaam
Nimepata tenda ya kupleka Ngombe na Mbuzi Zanzibar kutokea Dar es alaam. Naomba ushauri njia ipi nayoweza tumia kusafirisha mifugo(ikiwa hai) na pia kusafirisha kama nyama ikiwa imechinjwa.
Ahsante.
Pia inatakiwa uwe na kibali kutoka wizara ya mifugo Cha kusafirisha nyama, hiki utaenda kulipia pale Temeke Veterinary. Kama hauna itabidi umtafute mtu mwenye kibali utumie chake na utampa pesa ya maji.Nakushukuru sana ndugu yangu kwa maeelzo fasanani,nimepata mwanga na sasa najua wapi pa kuanzia. Asante sana Mkuu.