SHAROBALO
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 771
- 349
Hellow,
ningependa kufahamu any Ideas,process etc jinsi ya kuwa omba hao jamaa watangaze kwenye website yako binafsi ambayo ina mvuto na wateja wengi na HITS nying per day!!?
Na hizi namba za 15507 etc ambazo mtu binafsi anapewa na makampuni ya simu unaziprocess vipi!!
ni hayo tu!!
ningependa kufahamu any Ideas,process etc jinsi ya kuwa omba hao jamaa watangaze kwenye website yako binafsi ambayo ina mvuto na wateja wengi na HITS nying per day!!?
Na hizi namba za 15507 etc ambazo mtu binafsi anapewa na makampuni ya simu unaziprocess vipi!!
ni hayo tu!!