Njia gani unaweza kuwa omba makampuni kama ya tigo,voda watangaze kwenye website yako!!

SHAROBALO

JF-Expert Member
Mar 17, 2011
771
349
Hellow,

ningependa kufahamu any Ideas,process etc jinsi ya kuwa omba hao jamaa watangaze kwenye website yako binafsi ambayo ina mvuto na wateja wengi na HITS nying per day!!?

Na hizi namba za 15507 etc ambazo mtu binafsi anapewa na makampuni ya simu unaziprocess vipi!!

ni hayo tu!!
 
Kaka umeulıza swalı zurı sana,idea kama hyo nınayo na mımı natafuta mdhamini wa blog yangu.lakin mm nafıkırı kwamba unaweza kuandıka barua au ukatengeneza vipeperushi venye lınk ya websıte yako then unawatumia,alafu unawapa ofa kwanza ya kutangaza bure then unaacha kama muda wa mwezı 1au 2
then ukıona muda unakarıbıa kuisha unawa alert kuwa muda wa kutangaza bure kwenye blog unakaribıa kuisha then pale kama wakıvutiwa na web au blog yako unaanza kula mkwanja na ukapata wadhamını
check
hapa blog yangu
GSHAYO
 
As of Kutangaza kwenye site yako naona waone promotion departmet zao watakupa jibu zuri zaidi (straight from the horses mouth...) as of hizo namba zinaitwa switch codes.., kwahiyo inabidi upate a switch code provider..., ambapo atakupa a keyword yako ambayo mfano unauza miziki ya ku-download watakupa utumia keyword ya muziki..., hivyo basi watu wakituma hiyo message wanakuwa charges a premium rate lets say tshs 500/= sasa hawa switchcode providers (middle men) watatoa percent zao; watawapa mobile phones operator za kwao na tcra za kwao mwisho wa siku utabaki na about 25% depending on your volume and bargain...,

Kuna njia mbili wanaweza wakakupa limit ya kwamba kwa mwezi utumie sms kama 3,000 na hapo hakuna upfront fees yaani wanakata cha kwao baada ya watu kutuma message.., au unaweza ukanunua upfront kiasi cha sms kwa mwezi na kuwalipa au na wewe kuwa reseller au broker na kuwauzia wengine...,

Kwahiyo mkuu tafuta short codes provider hapa bongo au east africa nadhani itakuwa cheaper au kama unataka kuwa shortcode providers unaweza ukaongea na kampuni kubwa ukawa reseller wao
 
As of Kutangaza kwenye site yako naona waone promotion departmet zao watakupa jibu zuri zaidi (straight from the horses mouth...) as of hizo namba zinaitwa switch codes.., kwahiyo inabidi upate a switch code provider..., ambapo atakupa a keyword yako ambayo mfano unauza miziki ya ku-download watakupa utumia keyword ya muziki..., hivyo basi watu wakituma hiyo message wanakuwa charges a premium rate lets say tshs 500/= sasa hawa switchcode providers (middle men) watatoa percent zao; watawapa mobile phones operator za kwao na tcra za kwao mwisho wa siku utabaki na about 25% depending on your volume and bargain...,

Kuna njia mbili wanaweza wakakupa limit ya kwamba kwa mwezi utumie sms kama 3,000 na hapo hakuna upfront fees yaani wanakata cha kwao baada ya watu kutuma message.., au unaweza ukanunua upfront kiasi cha sms kwa mwezi na kuwalipa au na wewe kuwa reseller au broker na kuwauzia wengine...,

Kwahiyo mkuu tafuta short codes provider hapa bongo au east africa nadhani itakuwa cheaper au kama unataka kuwa shortcode providers unaweza ukaongea na kampuni kubwa ukawa reseller wao

wazo lingıne zuri mkuu pamoja sana.
 
ni vigumu kwa blog yenye visitor chini ya 2000 kwa siku na clicks chini ya 10,000 kuweza kupata matangazo moja kwa moja ila mimi nina wazo laweza kuwasaidia.

Kama kuna wana it wazuri wanaoweza kutengeneza publishing and advertising website wao wakawa wanachukua tenda and then wanawapa nyie manake mtandao huo huo hautaweza kushughulika na nyie wajasi mpo weng sanaaa
 
ni vigumu kwa blog yenye visitor chini ya 2000 kwa siku na clicks chini ya 10,000 kuweza kupata matangazo moja kwa moja ila mimi nina wazo laweza kuwasaidia.

Kama kuna wana it wazuri wanaoweza kutengeneza publishing and advertising website wao wakawa wanachukua tenda and then wanawapa nyie manake mtandao huo huo hautaweza kushughulika na nyie wajasi mpo weng sanaaa

mmh! Kaka unakatisha tamaa bt asante kwa ushaurı
 
kwan lazma hao tigo? Mbona makampun meng tu yalipa? Jiunge adsense admob mojiva buzzcity hitcross wote wanalipa kama hivi

viwango vyote kwa dola.
1.yale matangazo ya yesu na yanayofanania kila click 0.01
2.matangazo ya kampun kama nokia au gameloft ya text(bila banner) 0.03
3.yenye banner 0.04

then kuna other ways ya kuearn money ni hawa jamaa wa shorten url ukiwaletea visitor elf 10 wanakupa dola 5

pia makampun ya downloads kama ziddu.com kila kitu unachoupload kikidownloadiwa wanakulipa

njia zipo nyingi sana but uwe aware na fake ni nyingi google awe rafki yako
 
kwan lazma hao tigo? Mbona makampun meng tu yalipa? Jiunge adsense admob mojiva buzzcity hitcross wote wanalipa kama hivi

viwango vyote kwa dola.
1.yale matangazo ya yesu na yanayofanania kila click 0.01
2.matangazo ya kampun kama nokia au gameloft ya text(bila banner) 0.03
3.yenye banner 0.04

then kuna other ways ya kuearn money ni hawa jamaa wa shorten url ukiwaletea visitor elf 10 wanakupa dola 5

pia makampun ya downloads kama ziddu.com kila kitu unachoupload kikidownloadiwa wanakulipa

njia zipo nyingi sana but uwe aware na fake ni nyingi google awe rafki yako

tutazingatia ushauri wako kaka.
 
makampuni makubwa huwa naangalia mitandao yenye users wengi.... sasa kama una users wa kutosha nenda ukawashawishi kitengo cha Advertisement
 
THANKS MKUU so kwa hapa Tz naweza kuwapata wapi au unaanzia wapi. so kumbe ni separate entity na hawa wenye mitandao?! nilidhani wao ndio watoa code
As of Kutangaza kwenye site yako naona waone promotion departmet zao watakupa jibu zuri zaidi (straight from the horses mouth...) as of hizo namba zinaitwa switch codes.., kwahiyo inabidi upate a switch code provider..., ambapo atakupa a keyword yako ambayo mfano unauza miziki ya ku-download watakupa utumia keyword ya muziki..., hivyo basi watu wakituma hiyo message wanakuwa charges a premium rate lets say tshs 500/= sasa hawa switchcode providers (middle men) watatoa percent zao; watawapa mobile phones operator za kwao na tcra za kwao mwisho wa siku utabaki na about 25% depending on your volume and bargain...,

Kuna njia mbili wanaweza wakakupa limit ya kwamba kwa mwezi utumie sms kama 3,000 na hapo hakuna upfront fees yaani wanakata cha kwao baada ya watu kutuma message.., au unaweza ukanunua upfront kiasi cha sms kwa mwezi na kuwalipa au na wewe kuwa reseller au broker na kuwauzia wengine...,

Kwahiyo mkuu tafuta short codes provider hapa bongo au east africa nadhani itakuwa cheaper au kama unataka kuwa shortcode providers unaweza ukaongea na kampuni kubwa ukawa reseller wao
 
I have the same idea na hii pay per click kwa tanzania ni program nzuri ila wataalamu wetu wameshindwa kuaangalia hilo. mfano mtu awe anakusanya matangazo halafu wenye site mbali mbali wawe wana weka link kwenye site zao pale mtu aki click may be kufungua page anakutana na tangazo kwanza then anakuwa redirected kwenye page husika. so blocker ana waliper wenye site kwa clicks per day mfano kunasite moja hivi wanaliper 4 usd per 10000 clicks. na blocke awe analipwa na wenye matangazo per mega clicks za site zote!! sijui watz hatufikilii hili?
ni vigumu kwa blog yenye visitor chini ya 2000 kwa siku na clicks chini ya 10,000 kuweza kupata matangazo moja kwa moja ila mimi nina wazo laweza kuwasaidia.

Kama kuna wana it wazuri wanaoweza kutengeneza publishing and advertising website wao wakawa wanachukua tenda and then wanawapa nyie manake mtandao huo huo hautaweza kushughulika na nyie wajasi mpo weng sanaaa
 
Usikate tamaaa no pain no gain..ihii itakuwa changamoto kwa wenye websites kuongeza juhudi za kuvutia watu wengi kwa siku. mfano mimi na pata 300 visitor per day na weekend huwa inazidi so kuongeza idadi inabidi u sweat zaidi uongeze vitu ambavyo watu wanavihitaji kila siku na sio vya musimu...
mmh! Kaka unakatisha tamaa bt asante kwa ushaurı
 
So hapo unaandika proposal au unakwenda n ipad yako kuonyesha site yako na proof kuwa visitor ni wengi per day. Unaweza fafanua step kwa step mfano walio fanikiwa kwenda makampuni ya hapa tz.
makampuni makubwa huwa naangalia mitandao yenye users wengi.... sasa kama una users wa kutosha nenda ukawashawishi kitengo cha Advertisement
 
THANKS MKUU so kwa hapa Tz naweza kuwapata wapi au unaanzia wapi. so kumbe ni separate entity na hawa wenye mitandao?! nilidhani wao ndio watoa code
Cheki hawa jamaa ingawa binafsi siwajui nime-google utapata contact zao na unaweza kuongea nao kumbuka always to bargain na sio lazima kutoa upfront fees kama una uhakika wa wateja watakupa minimum amount ya sms za kutuma kwa mwezi na wenyewe watakuwa wanachukua commission yao katika kila sms na kuwapa mobile phones zao na wewe zako

Push Mobile
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom