Pantomath
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 789
- 3,230
Ukiwa mfanyabiashara kumkopesha mteja wako wa mda mrefu sio jambo geni, tatzo ni pale anapoanza kupata tamaa, na yawezekana kbsa wakati mnakabidhiana hakua na nia mbaya kbsa ila taratib anaanza kupata vishawishi na tamaaa,
Hapa naandika haya nishatia marafiki wawili ndani,
Mmoja kala biti kalipa deni, Mwingne kanipigia twende kituoni tukakabidhianee, bado wawilii hawa nawataftia njia ya kuwadai.
Wabongo wenyewe kwa wenyewe tunaangushana sanaaaa,
Unafanya biashara na mtu kwa mda mrefu inafika hatua unaanza kumwamini, unamtumia mzigo ndio anakutumia pesa zaidi ya mara 20, maana ni mteja wako, kumbe lengo lake azidi kujenga uaminifu ili siku akupige mzigo mkubwaa,
Hebu tujuzane ni njia gani ww unaitumia kumdai mdeni wako..
1. Vitisho mfn : nitakachokufanya hutaamini?
2. Lugha ya upolee, Dini, imani?
3. Vitendo - mfn kupiga, kwenda polisi, kuchukua mali yake au maamuzi yyt yale dhidi yake?
4.lugha Kali,
5. Kumchafulia kwa ndugu na marafiki?
6. Kukaa kimyaa? N.k n.k.
Nasema hivi maana tunatofautiana sanaa , mwingne ukimpiga biti ndio kbsaaa haogopi
Mwingne ukiongea nae kipole anatafakari mwishowe mnamalizana, mwingne ukikaa kimya nae anakaa kimya,
Mwingne anaogopa kuchafuliwa na kuonekana msanii hivyo ukimtishia/ukimharibia kwa ndugu na marafk anakua mpole, mwingne ukimfanyia ubabe nae anarespond kibabaee : tunayo mifano mingi ya mtu kujeruhiwa au kuuwawa akiwa anadai mali yake, mwingne ukimgusia masuala tu ya dini km anaimani basi ananyweaa.
Mfn Mm kati ya hawa jamaa wawili walionilipa Huyu mmoja nilitumia kila njia zikafell, week iliyopita km kiutani nikamwandikia 'lakini ndugu yangu wewe si upo kwenye mfungo wa sita, huyo Mungu unayemfungia ni yupii?' Sikuamin ndani ya dk 13 muamala huooo,
Hebu tupeane njia za kudai kilichochakoo.
Hapa naandika haya nishatia marafiki wawili ndani,
Mmoja kala biti kalipa deni, Mwingne kanipigia twende kituoni tukakabidhianee, bado wawilii hawa nawataftia njia ya kuwadai.
Wabongo wenyewe kwa wenyewe tunaangushana sanaaaa,
Unafanya biashara na mtu kwa mda mrefu inafika hatua unaanza kumwamini, unamtumia mzigo ndio anakutumia pesa zaidi ya mara 20, maana ni mteja wako, kumbe lengo lake azidi kujenga uaminifu ili siku akupige mzigo mkubwaa,
Hebu tujuzane ni njia gani ww unaitumia kumdai mdeni wako..
1. Vitisho mfn : nitakachokufanya hutaamini?
2. Lugha ya upolee, Dini, imani?
3. Vitendo - mfn kupiga, kwenda polisi, kuchukua mali yake au maamuzi yyt yale dhidi yake?
4.lugha Kali,
5. Kumchafulia kwa ndugu na marafiki?
6. Kukaa kimyaa? N.k n.k.
Nasema hivi maana tunatofautiana sanaa , mwingne ukimpiga biti ndio kbsaaa haogopi
Mwingne ukiongea nae kipole anatafakari mwishowe mnamalizana, mwingne ukikaa kimya nae anakaa kimya,
Mwingne anaogopa kuchafuliwa na kuonekana msanii hivyo ukimtishia/ukimharibia kwa ndugu na marafk anakua mpole, mwingne ukimfanyia ubabe nae anarespond kibabaee : tunayo mifano mingi ya mtu kujeruhiwa au kuuwawa akiwa anadai mali yake, mwingne ukimgusia masuala tu ya dini km anaimani basi ananyweaa.
Mfn Mm kati ya hawa jamaa wawili walionilipa Huyu mmoja nilitumia kila njia zikafell, week iliyopita km kiutani nikamwandikia 'lakini ndugu yangu wewe si upo kwenye mfungo wa sita, huyo Mungu unayemfungia ni yupii?' Sikuamin ndani ya dk 13 muamala huooo,
Hebu tupeane njia za kudai kilichochakoo.