Mel James
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 344
- 241
Naomba kuwasilishia mada yangu Kama inavyosema kwenye kichwa cha habari. Naombeni mnijuze njia sahihi ya kutoa nguvu za giza au uchawi kwa mtu ambaye amerogwa.
Waganga wa kienyeji hapana kabisa na wachungaji wala kuombeana hapana. Nisaidie njia nyingine ambayo itanisaidia.
Natanguliza shukrani za dhati kwenu.
Waganga wa kienyeji hapana kabisa na wachungaji wala kuombeana hapana. Nisaidie njia nyingine ambayo itanisaidia.
Natanguliza shukrani za dhati kwenu.