ngebo
JF-Expert Member
- Sep 8, 2017
- 1,679
- 2,105
Nitafanya utafiti nikupe feedbackKwa mjamzito haina madhara???
Nitafanya utafiti nikupe feedbackKwa mjamzito haina madhara???
au labda vimexpire?
sasa mimi nna tatizo ganiHapana hio ni dawa ya kisunna
Na shughuli yake kubwa ni kulisafisha tumbo
sasa mimi nna tatizo gani
Sasa aache kula na hapo hapo unasema ashindie matunda.....acha kula sikumbili shindia mapapai na matunda tu.
kuna njia nyingine hiyo ni hatari ingawa utasafisha hadi njia ya haja kubwa kama kuna brockage zozote kwa kifaa maalum na maji ya vuguvugu.
Harisha kuanziq asubuhi hadi jioni huku unakunywa maji yenye chumvi na sukari kurrplace yale unayoyaharisha. Then jioni chemsha majani machanga ya mpera unywe juice yake na kinyesi chako kitarudi kawaida.Na ukitaka kufunga inakuaje
mepata choo tu sio kuharishaBado tuu Hujaharisha? princess ariana maana ukijumlisha na zile siku saba itakuwa siku ya kumi hujanya.
mrejesho vip mkuu au ulisahau kuunganisha extension mpaka toiletWakuu.....
Nimetoka kununua hivo vimbegu vya Habat Mulk (buku tu)
Ndio nimefika ghetto nataka kukatafuna kapunje kamoja... Nitawapa Mrejesho...
Maana jana nimetengeneza Juice ya Ukwaju nimekesha nakunywa lakini hamna kitu
Sijui ndio M.kundu wangu utakua umeziba kubabake... Nitawapa Mrejesho wakuu..
View attachment 606893
Repeat againWe kwa vile tumbo gumu basi inabidi utafune vyote hvyo
Mana tangu palee tuhhu....Repeat again
Mbona makubwaMi nachukuaga mpira wa maji nafunga kwenye koki Kisha najiingiza nyuma nayafungulia yanaingia Kisha nachomoa then fresh nasafishika poooa