Farudume12
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 621
- 346
NJIA ASILI YA KUPUNGUZA UKUBWA WA MIKONO,MATITI NA TUMBO
Tangawizi na limao ni viungo vinavyoaminika ktk kukausha mafuta na kuyeyusha mafuta mwilini
Leo tutavitumia viungo hivi asilia katika kupunguza ukubwa wa matiti,tumbo na mikono iliyoning'inia
mahitaji
tangawizi mbichi
limao au ndimu
❣JINSI YA KUFANYA❣
Twanga tangawizi hadi ilainike sana kisha kamulia limao lako au ndimu
mchanganyiko huo jisugulie kwenye mikono kwa mda wa dkk2 had5 ILI KUONDOA NYAMA ZILIZONING'IA MKONONI
Paka mchanganyiko huo matiti yako hayo unayotaka yapungue pakaa kwa mzunguko kwa kuvutia juu au katikati ya chuchu huku ukigugua taratibu kwa mda wa dkk2 acha ikauke
KWA KUPUNGUZA TUMBO chukua maji weka tangawizi,kisha chemsha ikichemka subiri iwe vuguvugu kamulia limao au ndimu moja kunywa alafu paka tumboni mchanganyiko wa tangawizi mbichi na limao na usugue sehemu zote unazotaka zipungue
❣fanya lile linalokuhusu tu.kama ni titi mikono au tumbo
❣tangawizi ikikauka unapaswa ufanye mazoez
❣kumbuka mazoez yote ya mikono husaidia titi lisianguke na pia lisimame dede
fanya hivyo mara mbili kwa siku ndani ya wiki mbili utapata matokeo mazuri sana.
Tangawizi na limao ni viungo vinavyoaminika ktk kukausha mafuta na kuyeyusha mafuta mwilini
Leo tutavitumia viungo hivi asilia katika kupunguza ukubwa wa matiti,tumbo na mikono iliyoning'inia
mahitaji
tangawizi mbichi
limao au ndimu
❣JINSI YA KUFANYA❣
Twanga tangawizi hadi ilainike sana kisha kamulia limao lako au ndimu
mchanganyiko huo jisugulie kwenye mikono kwa mda wa dkk2 had5 ILI KUONDOA NYAMA ZILIZONING'IA MKONONI
Paka mchanganyiko huo matiti yako hayo unayotaka yapungue pakaa kwa mzunguko kwa kuvutia juu au katikati ya chuchu huku ukigugua taratibu kwa mda wa dkk2 acha ikauke
KWA KUPUNGUZA TUMBO chukua maji weka tangawizi,kisha chemsha ikichemka subiri iwe vuguvugu kamulia limao au ndimu moja kunywa alafu paka tumboni mchanganyiko wa tangawizi mbichi na limao na usugue sehemu zote unazotaka zipungue
❣fanya lile linalokuhusu tu.kama ni titi mikono au tumbo
❣tangawizi ikikauka unapaswa ufanye mazoez
❣kumbuka mazoez yote ya mikono husaidia titi lisianguke na pia lisimame dede
fanya hivyo mara mbili kwa siku ndani ya wiki mbili utapata matokeo mazuri sana.