thegeniustzda
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 211
- 358
Nilichoelewa hapa yani mtoaji mada na wachangia hakuna mwenye uelewa mpana juu ya hizi mambo za mtandaoni
Wewe mwenye uelewa mpana ebu ngia tujifunze kwako maana mpaka umeona hakuna mweenye uelewa ujue unajua sana, ila kwa mm navyojua kweny digital hakuna anaejua zote kuna watu ni experts tu kwenye mambo ya SEO, wengne ni blog kama blogger, wengne ni youtubers, wengne ni affiliate marketing na zote hzo elimu yake ni ndefu sana na hazna mwisho kama mm tangu mwaka 2014 mpaka leo naifunza mambo mapya kwenye SEO na affiliate marketing.nilichoelewa hapa yani mtoaji mada na wachangia hakuna mwenye uelewa mpana juu ya hizi mambo za mtandaoni
Ulishawahi pata client guru?Naked Truth! Mtandaoni kuna pesa na kunahitaji hard working ya Hali ya juu. Na fursa za kujiongezea kipato online zipo nyingi na ni free of charge ni bando lako na smartphone...
nilichoelewa hapa yani mtoaji mada na wachangia hakuna mwenye uelewa mpana juu ya hizi mambo za mtandaoni
PM. Zipo za kutosha tuKwa anayeuza website yenye AdSense tuwasiliane?
Kudadeki 😂😂😂mimi natumia adfly ila sipost link kwa mtu naclick mwenyewe tu
Kuwa youtuber- Contents creatorNimeweka nanga hapa....nina computer nzuri ina uwezo MKUBWA sana ila sijui namna ya kuingiza pesa
Inahitaji kuwa na camera??ila kila nikifikiria content nakosa idea kbs kwa mfano ww unapendekezaje?Kuwa youtuber- Contents creator
Hapana hauhitaji kuwa na camera kama ni picha zipo mtandaoni na kama ni clip za video pia zipo tena za free ambazo yeyote anaeza kuzitumia bila kubughudhiwa.Inahitaji kuwa na camera??ila kila nikifikiria content nakosa idea kbs kwa mfano ww unapendekezaje?
YouTube channel yako inaitwajeHapana hauhitaji kuwa na camera kama ni picha zipo mtandaoni na kama ni clip za video pia zipo tena za free ambazo yeyote anaeza kuzitumia bila kubughudhiwa.
Ukitaka kupata idea kirahisi basi angalia kile kitu ambacho unakipenda na ukigeuza kuwa contents, sababu kama kitu unakipenda basi huwa unakifuatilia na kama unakifuatilia basi utakuwa na material mengi kuhusu hicho kitu, hivyo basi hayo material ni rahisi kuyageuza kuwa contents.
Mm binfsi nafanya mambo yahusuyo filamu.
Mimi natafuta computer au laptop niweze kutengeneza pesa alafu muda huu kumbe kuna mtu anayo computer na hajui atatengeneza vipi pesaNimeweka nanga hapa....nina computer nzuri ina uwezo MKUBWA sana ila sijui namna ya kuingiza pesa