Njia ambazo dunia huenda ikafika mwisho wake

Ni mionzi fulani ya nishati kutoka nyota zinazopasuka supernovae inayoweza kuachia nishati kama inayoachiwa na jua ketu kwa miqka bilioni 10 katika s3kunde chache tu.

Fikiria mtu akusanye nguvu zote za jua za miaka bilioni kumi, halafu atengeneze bomu, ailenge dunia na kuilipua dunia kwa bomu hilo.

Ni kitu fulani kikitokea hata kujikinga ni vigumu. Ila uzuri mpaka sasa hatujaona gamma ray bursts kubwa zikitokea kwenye galaxy yetu au ya karibuna probability kutokea ni mara moja katika miaka milioni tano.

God forbid isije kutokea
 
Ni mionzi fulani ya nishati kutoka nyota zinazopasuka supernovae inayoweza kuachia nishati kama inayoachiwa na jua ketu kwa miqka bilioni 10 katika s3kunde chache tu.

Fikiria mtu akusanye nguvu zote za jua za miaka bilioni kumi, halafu atengeneze bomu, ailenge dunia na kuilipua dunia kwa bomu hilo.

Ni kitu fulani kikitokea hata kujikinga ni vigumu. Ila uzuri mpaka sasa hatujaona gamma ray bursts kubwa zikitokea kwenye galaxy yetu au ya karibuna probability kutokea ni mara moja katika miaka milioni tano.

Vile ambavyo bado hatuvijui leo na ambavyo bado tunavifanyia utafiti, ndiyo hivyo ambavyo huwa vinasababisha cancellation effect inayopelekea kutokuwepo kwa kile kibaya ambacho tulidhani kuwa kingeweza kuipata dunia yetu, na huwa vinasababisha effect hiyo hata kabla hatujajua kuwa ni vyenyewe vilivyosbabisha. Vinginevyo dunia leo isingekuwepo, kwa sababu haya yanayotokea leo hii kama vile mabadiliko ya tabia nchi, yalishawahi kutokea hata huko nyuma wakati wa uwepo wa dunia hii tunayoishi, na teknolojia zimekuwepo tena kubwa na kali zaidi kuzidi hata hiii tuliyonayo leo. You can imagine leo tuna teknoloji ambayo hata haiwezi kutusaidia angalau kujua tu kuwa mapiramidi yalijengwajei au stonehedge huko Uingereza zilipangwaje
 
Vile ambavyo bado hatuvijui leo na ambavyo bado tunavifanyia utafiti, ndiyo hivyo ambavyo huwa vinasababisha cancellation effect inayopelekea kutokuwepo kwa kile kibaya ambacho tulidhani kuwa kingeweza kuipata dunia yetu, na huwa vinasababisha effect hiyo hata kabla hatujajua kuwa ni vyenyewe vilivyosbabisha. Vinginevyo dunia leo isingekuwepo, kwa sababu haya yanayotokea leo hii kama vile mabadiliko ya tabia nchi, yalishawahi kutokea hata huko nyuma wakati wa uwepo wa dunia hii tunayoishi, na teknolojia zimekuwepo tena kubwa na kali zaidi kuzidi hata hiii tuliyonayo leo. You can imagine leo tuna teknoloji ambayo hata haiwezi kutusaidia angalau kujua tu kuwa mapiramidi yalijengwajei au stonehedge huko Uingereza zilipangwaje
Gamma rays hazijatufikia kwa sababu zimelipukia mbali nasi.

Simple as that.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom