Post nzuri sana, halafu ya Kiswahili. Busara zake zikifuatiliwa itaepusha migogoro mingi.
Ingawa imeandikwa mahsusi kwa kuangalia mazingira ya kazini, lakini bado inaweza kutumika hata katika mahusiano nje ya kazini.
Of course kuna mambo mengine ni magumu kuyafuatilia (mpende kila mtu?) lakini kwa ujumla imekaa vizuri.
Ahsante.
hata shuleni,au na wapangaj wenzako