Njia 8 za jinsi ya kuepuka migogoro makazini.

Post nzuri sana, halafu ya Kiswahili. Busara zake zikifuatiliwa itaepusha migogoro mingi.

Ingawa imeandikwa mahsusi kwa kuangalia mazingira ya kazini, lakini bado inaweza kutumika hata katika mahusiano nje ya kazini.

Of course kuna mambo mengine ni magumu kuyafuatilia (mpende kila mtu?) lakini kwa ujumla imekaa vizuri.

Ahsante.

hata shuleni,au na wapangaj wenzako
 
[*]Usijaribu kuwabadili wenzako, badilika mwenyewe: Wapo binadamu ambao kila kukicha wao hujaribu kuwabadilisha wenzao? Kama wewe ni miongoni mwa watu wa namna hiyo, nasikitika kukuambia kwamba kazi kubwa ipo mbeleni mwako. Sio jambo rahisi kumbadili mtu. Ni sawa kabisa na kupoteza muda. Badala yake,jaribu wewe kubadilika.Kama mfanyakazi mwenzako ni ile aina ya watu wanaopenda kusifiwa sifiwa,msifu kisha ishia zako.Kwani utapungukiwa na nini?


Tunashukuru sana CPU, hii hapa juu itasaidia hata kwenye mahusiano
 
Asante sana CPU kwa hii uziful post, nitawagawia waumini wangu wasome, ubarikiwe sana
 
[*]Usijaribu kuwabadili wenzako, badilika mwenyewe: Wapo binadamu ambao kila kukicha wao hujaribu kuwabadilisha wenzao? Kama wewe ni miongoni mwa watu wa namna hiyo, nasikitika kukuambia kwamba kazi kubwa ipo mbeleni mwako. Sio jambo rahisi kumbadili mtu. Ni sawa kabisa na kupoteza muda. Badala yake,jaribu wewe kubadilika.Kama mfanyakazi mwenzako ni ile aina ya watu wanaopenda kusifiwa sifiwa,msifu kisha ishia zako.Kwani utapungukiwa na nini?
Tunashukuru sana CPU, hii hapa juu itasaidia hata kwenye mahusiano

Habari yake binafsi Maty....

Vipi yale Maji ya Baraka niliyokupatia ulifika nayo salama??

Karibu tena mpendwa
 
Habari yake binafsi Maty....

Vipi yale Maji ya Baraka niliyokupatia ulifika nayo salama??

Karibu tena mpendwa


Habari nzuri sana askofu, yale maji ya baraka nilifika nayo salama, na jana ndio nimemalizia kujinyunyizia na yamenibariki sana. Ubarikiwe mtumishi wa bwana
 
[*]Usijaribu kuwabadili wenzako, badilika mwenyewe: Wapo binadamu ambao kila kukicha wao hujaribu kuwabadilisha wenzao? Kama wewe ni miongoni mwa watu wa namna hiyo, nasikitika kukuambia kwamba kazi kubwa ipo mbeleni mwako. Sio jambo rahisi kumbadili mtu. Ni sawa kabisa na kupoteza muda. Badala yake,jaribu wewe kubadilika.Kama mfanyakazi mwenzako ni ile aina ya watu wanaopenda kusifiwa sifiwa,msifu kisha ishia zako.Kwani utapungukiwa na nini?

Tunashukuru sana CPU, hii hapa juu itasaidia hata kwenye mahusiano

Karibu Maty
 
Thanx CPU, kwa mada nzuri,
1.Pia kuna hii, Wakati wote mchukulie mtu anaekuja mbele yako ni wathamani kwako,yaani ni kama mtji kwako, kwani kwakufanya hivi utafaidika nae kwa yale anayoyajua.
2. Fahamu kila mwanadamu anapenda kusifiwa na kupewa priority hivyo wape ukipaumbele na sifa wanazostahili na katika hili uwe mwaminifu na aina ya sifa unayompa muhusika
3. Jifunze kuwa mpatanishi na mwenye upendo kwa wengine kwani ukiwa hivi utapendwa na kuheshimiwa na wakubwa kwa wadogo.
4.Penda kufahamu wajibu wako katika ofisi unayofanyia kazi, jibiidishe na jielimishe zaidi ili kuwa bora katika tasnia unayofanyia.
 
Thanx CPU, kwa mada nzuri,
1.Pia kuna hii, Wakati wote mchukulie mtu anaekuja mbele yako ni wathamani kwako,yaani ni kama mtji kwako, kwani kwakufanya hivi utafaidika nae kwa yale anayoyajua.
2. Fahamu kila mwanadamu anapenda kusifiwa na kupewa priority hivyo wape ukipaumbele na sifa wanazostahili na katika hili uwe mwaminifu na aina ya sifa unayompa muhusika
3. Jifunze kuwa mpatanishi na mwenye upendo kwa wengine kwani ukiwa hivi utapendwa na kuheshimiwa na wakubwa kwa wadogo.
4.Penda kufahamu wajibu wako katika ofisi unayofanyia kazi, jibiidishe na jielimishe zaidi ili kuwa bora katika tasnia unayofanyia.

Safi sana Mr Hunter Man
 
Habari nzuri sana askofu, yale maji ya baraka nilifika nayo salama, na jana ndio nimemalizia kujinyunyizia na yamenibariki sana. Ubarikiwe mtumishi wa bwana

Mmmh Maty nakuona1
 
Thanx CPU, kwa mada nzuri,
1.Pia kuna hii, Wakati wote mchukulie mtu anaekuja mbele yako ni wathamani kwako,yaani ni kama mtji kwako, kwani kwakufanya hivi utafaidika nae kwa yale anayoyajua.
2. Fahamu kila mwanadamu anapenda kusifiwa na kupewa priority hivyo wape ukipaumbele na sifa wanazostahili na katika hili uwe mwaminifu na aina ya sifa unayompa muhusika
3. Jifunze kuwa mpatanishi na mwenye upendo kwa wengine kwani ukiwa hivi utapendwa na kuheshimiwa na wakubwa kwa wadogo.
4.Penda kufahamu wajibu wako katika ofisi unayofanyia kazi, jibiidishe na jielimishe zaidi ili kuwa bora katika tasnia unayofanyia.

Uko sahihi kbc
 
Back
Top Bottom