Njelu Kasaka ajiunga na CHADEMA

Njelu Kasaka nilimkubari wakati ule wa kundi la G55 kudai Serikali ya Tanganyika.

All in all UKAWA ni sawa na Safina ya Nuhu!
 
hicho kichwa nakifaham vizur bungeni kilikua kkiruka sarakasi ukikizingua,kamuulze NYERERE,heb tukipe ubunge kikaungane na kina Lisu
 
Ukombozi umeshafika, watanzania kuweni tayari wa mabadiliko kwa mara ya kwanza tangu uhuru wa taifa.

Kwa hisani ya JF, wajue wabunge 55 wa kundi lililodai Tanganyika mwaka 1993.

Wabunge 55 waliofahamika kama G55, wakiongozwa na mtoa hoja, Njelu Kasaka, waliiunga mkono hoja hiyo. Baadaye wakaongezeka wengine kumi na kuifanya idadi yao kuwa 65 hadi kufikia Julai 22, 1994.

Wabunge wengine waliounga mkono na majimbo yao ya wakati huo yakiwa kwenye mabano ni;
Mateo Tluway Qaresi (Babati),
Jenerali Twaha Khalfani Ulimwengu (Taifa/Jumuiya ya Vijana),
Mbwete Polile Hombee (Mbeya Vijijini),
marehemu John Byeitima (Karagwe),
Chediel Yohane Mgonja (same),
Japhet Sichona (Mbozi),
Benedict Losurutia (Kiteto ),
Dk. Mganga Kipuyo (Arumeru Magharibi),
Stanley Kinuno (Nyang’hwale),
Dk. Aaron Chiduo (Gairo),
Edward Oyombe Ayila (Rorya)
Shashu Lugeye (Solwa).


Wengine walikuwa ni
John Mwanga (Moshi Mjini),
Dk. Deogratius Mwita (Serengeti),
Abel Mwanga (Musoma Mjini),
Juma Jamaldin Akukweti (Tunduru),
Patrick Silvanus Qorro (Karatu),
Steven Mwaduma (Iringa Mashariki),
Dk. Ndembwela Ngunangwa (Njombe Kusini),
Richard Koillah (Ngorongoro),
Ahmed A. Mpakani (Iringa Magharibi),
Paschal K. Mabiti (Mwanza),
Luteni Lepilal Ole Moloimet (Monduli),
Lumuli Alipipi Kasyupa (Kyela),
Profesa Aaron Masawe (Hai)
Arcado Ntagazwa (Kibondo).


Katika kundi hilo walikuwemo pia
Phineas Nnko (Arumeru Mashariki),
Paschal Degera (Kondoa Kusini),
Mussa Nkhangaa (Singida Mjini),
Halimenshi Kahema Mayonga (Kigoma Kaskazini),
Said Abdallah Nakuwa (Lindi Mjini), na
Mosi Tambwe (Taifa/Wanawake).



 
Safina Itang'oa Nanga Sio Mda Mrefu, Kwahiyo Walioko Nje Ya Safina Na Niwasafili Waingie Kabla Mlango Haujafungwa.
 
Ni Njelu Kasaka mbunge wa zamani wa jimbo la Lupa wilayani Chunya mkoa wa Mbeya, leo ametangaza kukihama chama cha Mapinduzi na kujiunga na CHADEMA.

Akiongea na wananchi wa chunya leo, mwenyekiti wa chadema mkoa wa mbeya amethibitisha hayo.

"Chunya leo tumekuja kufanya kazi kuu mbili kuhamasisha wananchi kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura na kumpokea rasmi mzee wetu Njelu Kasaka"

Katika mkutano huo wa hadhara pia Katibu mtendaji wa TLP alijiunga na chadema na kukili kuwa TLP imebaki Vunjo tu ambako nako itapotea baada ya miezi mitatu...!

Mkutano umefanyika Chunya mjini umeongozwa na mwenyekiti wa mkoa na mzee wa upako!

Yes, welcome, the captain of precious 'Tanganyika' [1983/4]...Njelu Kassaka, kamata vijana wako, ongoza wao kuelekea nchi yao, taifa lao lililopotea la Tanganyika mpya!
 
Hivi ni mzee wa upako huyu ANTONY Lusekelo wa Ubungo kibangu amabaye mimi nina mfahamu kama transfoma au ni mzee wa upako mwingine....ufafanuzi plz.
Huyu mzee Kasaka Njeru si ndio kiongozi wa lile kundi lililozuaga utata kipindi flani huko mjengoni? mpaka mwalimu akapata wakati mgumu sana kushughulika nao....

Hapana ni somebody Mwambigija,mwenyekitiwa cdm huko Mbeya huwa anavua gamba watu balaa,pia kwenye byelection yoyote ya udwani hajawahi poteza akikabidhiwa,Kasaka ndiyo yeye aliyezua hilo tafrani
 
Ni Njelu Kasaka mbunge wa zamani wa jimbo la Lupa wilayani Chunya mkoa wa Mbeya, leo ametangaza kukihama chama cha Mapinduzi na kujiunga na CHADEMA.

Akiongea na wananchi wa chunya leo, mwenyekiti wa chadema mkoa wa mbeya amethibitisha hayo.

"Chunya leo tumekuja kufanya kazi kuu mbili kuhamasisha wananchi kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura na kumpokea rasmi mzee wetu Njelu Kasaka"

Katika mkutano huo wa hadhara pia Katibu mtendaji wa TLP alijiunga na chadema na kukili kuwa TLP imebaki Vunjo tu ambako nako itapotea baada ya miezi mitatu...!

Mkutano umefanyika Chunya mjini umeongozwa na mwenyekiti wa mkoa na mzee wa upako! QUOTES pongezi zake mzee wetu njelu kasaka mzee wa G 55.Heri wewe uliyeona na kukubali kubadilika .karibu .
 
Huyo mzee mpinzani toka kitambo tu, anahamahama vyama sana tu, sio mwanaccm damu, mwache arudi alikokua.
 
Ni Njelu Kasaka mbunge wa zamani wa jimbo la Lupa wilayani Chunya mkoa wa Mbeya, leo ametangaza kukihama chama cha Mapinduzi na kujiunga na CHADEMA.

Akiongea na wananchi wa chunya leo, mwenyekiti wa chadema mkoa wa mbeya amethibitisha hayo.

"Chunya leo tumekuja kufanya kazi kuu mbili kuhamasisha wananchi kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura na kumpokea rasmi mzee wetu Njelu Kasaka"

Katika mkutano huo wa hadhara pia Katibu mtendaji wa TLP alijiunga na chadema na kukili kuwa TLP imebaki Vunjo tu ambako nako itapotea baada ya miezi mitatu...!

Mkutano umefanyika Chunya mjini umeongozwa na mwenyekiti wa mkoa na mzee wa upako!

Huu ndio wakati wa kujiunga na Ukombozi. Baadae hatutaitaji Makapi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom