Lokissa
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 7,446
- 2,490
OF COURSE YES! ila napenda kukuhahakishia tumechoka na ccm sio chama cha kutuongoza watu makini kama sisiCCM ni chama Imara , wakati tunapata uhuru tulikuwa na barabara ya lami moja, TAFADHALI USITUDHALILISHE KIASI HIKI WEWE UNAFIKIRI RASILIMALI TULIZONAZO SISI NI WATU WASIOTAKIWA KUWA NA MAENDELEO KAMA HAYA MARA DUFU? HELA ZINAZOLIWA NA MAFISADI UNAFIKIRI NI NDOGO? sasa kila mkoa unaunganishwa na lami, hata Chadema wakipata nchi hawatawapatia pesa mfukoni zaidi wataiba tu kama ambavyo Slaa kaanza kuchukua kwenye chama bila idhini na kujenga nyumba.. Je akikabithiwa nchi atabeba kila kitu.
Cha Msingi kupata viongozi wazalendo